KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 20/ 12 / 2021
UJUMBE WEA LEO: TUTAVUKA SALAMA
(KUTOKA MLIMA NEBO HADI NCHI YA AHADI)
Kumbukumbu 34 : 1 - 5
1 Musa akapanda kutoka uwanda wa Moabu mpaka mlima Nebo, hata kilele cha Pisga kukabili Yeriko. Bwana akamwonyesha nchi yote ya Gileadi hata Dani;
2 na Naftali yote, na nchi ya Efraimu na Manase, na nchi yote ya Yuda, mpaka bahari ya magharibi;
3 na Negebu, na uwanja wa bonde la Yeriko, mji wa mitende, hata mpaka Soari.
4 Bwana akamwambia, Hii ndiyo nchi niliyowaapia Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, nikisema, Nitawapa wazao wako. Basi nimekuonyesha kwa macho yako, lakini hutavuka huko.
5 Basi Musa, mtumishi wa Bwana, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la Bwana.
Mhubiri : Gadeilson Mfinanga
Kwa maombi na ushauri:
Mch. Dkt. Eliona Kimaro.
Simu :+255655516053, +255754516053
YouTube : Rev. Dr. Eliona Kimaro TV
Barua Pepe: elionakimaro555@gmail.com
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 24
مقاطع الفيديو ذات الصلة على KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA : IBADA YA MORNING - GLORY THE SCHOOL OF HEALING 20/ 12 / 2021: