#BusokeloUpdates #MgogoroKKKTKonde #Mwaikali
Mkutano wa waumini wa sharika 14 za jimbo la Kati la Dayosisi ya Konde umeamua kuungana na wakristo wengine kutomtambua Askofu Dkt. Edward Mwaikali pamoja na kuhamishwa kwa makao makuu ya Dayosisi hiyo kutoka Mjini Tukuyu kwenda Jijini Mbeya.
TAZAMA HABARI ZINAZOHUSIANA
Kilichotokea Usharika wa Tukuyu Mjini (Cathedral) /watch/s53=t&0YYthglj9Klj=
Serikali Yaombwa Kuingilia Kati Mgogoro kuhamisha Makao Makuu KKKT Konde: /watch/s051=t&g5lCOnmEjJNE1