المدة الزمنية 7:44

KUTANA NA MSICHANA JASIRI ALIYEJITANGAZA ANA HIV,ATEMBEA MITAANI ANATOA ELIMU YA VVU

بواسطة KAYUNI ONLINE TV
220 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/07/29

Wanawake wanaoishi na virus vya Ukimwi wamesema unyanyapa , ukatili wa kijinsia na Mila potofu Bado ni Changamoto katika jamii Katika Mapambano ya Maambukizi Mapya ya VVU na kusabaisha badhi ya watu kuacha Kutumia dawa Za kufubaza virus hivyo hatimaye kufariki Akizungumza na Ayo tv mara baada ya Kupata semina iliyoandaliwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania ( TACAIDS) Kushirikiana na Shirika la UN WOMEN, binti anayeishi na HIV amesema awali ndugu zake walimtenga na kukataa Kushirikiana nae nae kumpa hadi vyombo vya kulia chakula wakiogopa kuambukizwa Jambo ambalo lilimuumiza kisaikolojia ambapo baadae akaamua kijitangaza hadharani Kuwa anaishi na HIV na kisha kuanza kutoa Elimu kwa jamii kuhusu ugonjwa huo

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0