المدة الزمنية 4:1

Mwanafunzi mwenye vipaji vya ajabu Turkana

بواسطة Citizen TV Kenya
628 389 مشاهدة
0
3.1 K
تم نشره في 2017/01/11

Wanafuzi wanaozaliwa na changamoto za kimaumbile katika sehemu za mashinani mara nyingi hufichwa na wazazi wao kwa kuwa wao huchukuliwa kama watoto waliolaaniwa na wengi hutelekezwa na hivyo hawapelekwi hata shule Katika shule ya msingi ya mseto ya Lodwar kuna darasa la wanafaunzi walio na changamoto tofauti wengine vipofu na wengine ni viziwi lakini cha kutia moyo ni kwamba licha ya changamoto hizo vipawa vyao vinakuzwa hapa. Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered. This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world. Follow us: http://citizentv.co.ke https://twitter.com/citizentvkenya https://www.facebook.com/Citizentvkenya https://plus.google.com/+ CitizenTVKenya https://instagram.com/citizentvkenya

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 268