@charlesnyanda1646منذ 4 سنواتNionavyo mimi. mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya ni mwakililishi wa Rais katika maeneo yao ya uwajibukaji. Wanayemwakilisha si muda mrefu ataingia katika id="hidden1" class="buttons"> kinyang'anyiro cha kupata ridhaa ya watanzania kwa mara nyingine. Pamoja na kuwa pengine kuna katika kila dalili za kupata ridhaa tena, lakini kuwalazimisha anaowawakilisha kuendelelea kung'ang'ania katika nafasi za awali ni sawa na assumptions kuwa wabaki kumsubiri kumwakilisha tena atakapopata ridhaa hiyo. mi nadhani hiki ni kipindi cha kila anayetaka kupambana aruhisiwe kupambana, ni likishapita hili la uchaguzi, safu itapangwa upya. Na hata huyo Makonda akianguka kwenye Ubunge bado awe na nafasi ya kurudia nafasi yake kama atakuwa bado anaonekana anakidhi ....وسعت
@
@edwardmakonge3371منذ 4 سنواتWhy makonda??sababu za wakuu wa mikoa na wilaya na wengine kugombea.kwanza ni haki yao,pili nafasi ya kutegemea kuteuliwa haiaminiki maana inategemea utashi id="hidden2" class="buttons"> wa anayeteua ameamkaje siku hiyo.mwisho mheshimiwa magufuri akishinda ndio itakuwa awamu yake ya mwisho.sasa wateule wake wanajiandaa kisaikolojia ili kujiweka salama kisiasa,maana kiongozi ajaye baada ya magufuri atakuja na timu yake.mimi ninavyoona waachiwe wagombee na wananchi ndio watakao amua.kwani kupanga na kuchagua. ....وسعت3
@
@mzeewamadodoso1816منذ 4 سنواتMakonda Mwenyezi Mungu akutetee nimeamini unakipaji kikubwa na unapendwa sana ndio Maana wenye wivu wanateseka 6
@
@stephanokanyika6321منذ 4 سنواتMimi sio mwanasiasa lakini nina maoni haya makonda ni kiongozi mzuri ndio maana hata mh.rais inamuuma sana hili hila kama hatopita kuwa mgombea ubunge id="hidden3" class="buttons"> wa jimbo kwa tiketi ya ccm mh.rais makonda kwa time yako muweke awe waziri wako wa kuteuliwa kwa zile nafasi kumi za rais makonda ateuliwe kuwa mbunge mimi nashangaa sana wana ccm hasa viongozi wanavyo muongelea mh.makonda kwanza ni kiongozi shupavu na jasiri mwenye maamuzi magumu ni mfano wa kuigwa ccm munamuachaje kiongozi uyu makini kwa taifa letu kama unakubaliana na mimi kuhusu hili gonga like hapa hili tufikishe ujumbe kwa viongozi wa ccm watambue hili ....وسعت4
@
@nazarenajoseph2695منذ 4 سنواتTunashukuru katibu mkuu lakini watu wanajisahau kutenda haki Mungu awasaidie. 2
@
@salumjumaruhaga2513منذ 4 سنواتApo chacha kazi ipo ,m,mungu ibariki Tanzania
@
@eliaskyejoمنذ 4 سنواتSafi sana ni maneno ya kujengq sana kwa watia nia.
@
@kimsaid7643منذ 4 سنواتAcheni kumwandama Makonda sisi tumeamua akipitishwa tu huyo ndio mbunge wetu over. 19
@
@khadijacharles2433منذ 4 سنواتJamani acheni kimuandama makonda, aya wapi kaongelewa he sasa tutamchagua makonda kigamboni kwa kishindoooooo 1
@
@charlesmpemba9387منذ 4 سنواتMbona mnamuongelea sana makonda wakati rais hajamuongelea ? 3
@
@awadhirajabu6833منذ 4 سنواتMakonda Nimtanzania Yuko Na Aki Ya Kugombea Cheo Chochote Kikatiba Makonda Yuko Vizuli Agombee Na Kama Ubunge Ataupata Mchana Kweupe Ndani Ya Jiji La Dar 3
@
@dicksonaroka6961منذ 4 سنواتDu Mkuu wangu wa mkoa tulitamani sana kukuona bungeni sisi kama wengne huku chini lakin kwa maneno haya itoshe tu kusema mh. ingawa itatuumiza sana kwakweli kama watakukata jina.
@
@johanesjohn8471منذ 4 سنواتWakati ukifika umefika , time ya makonda imefika so tumwacheni ang'areee 6
@
@husseinkarim6745منذ 4 سنواتElewa mnafanya makosa ndio watu kwenda chama kingine. Inabidi mpe kila msaada ashinde. Kuna wengine watachukua nafasi zao. 2
@dnaofgodtv4873منذ 4 سنواتHulka yake ilishawakarahisha hamkujua anatokaje ss gap limepatikana, anaponaje?
@
@timothalex3249منذ 4 سنواتMwacheni makonda afate moyo wake mbna kila kinachosemwa mnamlenga makonda 7
@
@samwelhiinyamhangahiileosi1060منذ 4 سنواتNyie ccm acheni kumsakama makonda amefanya kazi kubwa Sana mpeni haki yake 1
@
@salumabdallah2856منذ 4 سنواتKugombea Ubunge ni haki ya kila Mtanzania. Bila shaka yeyote atakayeitishwa ktk kura za maoni kama hatokuwa na makando kando atapitishwa kupeperusha bendera ya Chama chake.
@
@edgarmbehikya8150منذ 4 سنواتKumbe Bashiru hujanizidi Sana. Hata mi kwenye kata yetu Mtendaji alikuwa hivyo akishirikiana na Bwana Afya. Enzi hizo sijaziona tena. Sasa hivi unatembea nyumba kadhaa hazina chanja za vyombo. Umenikumbusha mbali Bashiru.
@
@jacobmigera2626منذ 4 سنواتWana nchi tusimame Kwa pamoja tupinge kiwango cha mishahara na posho wanazo pokea Wabunge; kama kweli niwazakendo na wanawapambinia wana nchi wao wawe id="hidden9" class="buttons"> tayar kupokea kiasi kidogo cha mshahara ili pesa ikafanye Maendeleo;vijijini Watu wanaishi kwashida Hawa nufaiki na resources za nchi yao; huku Mbunge mmoja anapokea millions; let's fight for equality; ....وسعت21
@
@phonesphone401منذ 4 سنواتNi kweli huwezi ukaacha cheyo kama kile Ahaaa hii kweli ni tamaaaaaaa
@
@nehemiaisakwisa8604منذ 4 سنواتPunguzeni mshahara wa wabunge ili watu wauone usawa 2
@
@erodeshayo8672منذ 4 سنواتKwanza hii video katengeneza huyu alikua anaongea hii ishu akiwa amekaa kwahiyo nyie acheni ushenzi huu tafuteni habar sahihi mtafeli bora mngetoa sauti tu ikaskika Dah 5
@
@sheryphamwenevalley6124منذ 4 سنواتKubwa lililopo mpk muda huu linalojiri itakuaje wabunge.walipwe mamilion wakati watu muhim km.madoctor waalim marubani mishara midogo, ss lazima wayia id="hidden11" class="buttons"> nia waongezeke kila mtu anataka pesa, na iweje kwenye ubunge kuwe hakuna ukomo huo ni kubebaba, watu wamestuka ndio mana watu wengi wanataka kuingia bungeni kupiga pesa ....وسعت
@
@roselugendo6943منذ 4 سنواتMwacheni makonda atimize ndoto zake. Cheo cha ubunge ni cha tofauti, unachaguliwa na wananchi, cheo cha heshima. Mkuu wa mkoa unachaguliwa na watu wachache, id="hidden12" class="buttons"> hauchaguliwi, anateuliwa. Makonda mbele kwa mbele. Wacha awahi akiwa kijana. Tuongozwe na vijana. Tunataka mawaziri vijana. ....وسعت
@
@EngRoby-xh2kqمنذ 4 سنواتMbona hakuna sehemu kamwongolea makonda? Mwache apambane ni haki yake. Hacheni kumwandama makonda bwana. 23
@
@wazirhaji6913منذ 4 سنواتTusiwe km mbuzi kutaka majani yambali na wakati alitakiwa ale majani ya karibu kwanza baadae itafika wakati atakwenda kufungwa kwenye yale majani atayoyataka atayala kwa utuo bila wasi
@mathamwamwaja3698منذ 4 سنواتHuu ni uchu wa madaraka ,watanzania turidhike na vyeo vyetu jaman 1
@
@jamilasaid2718منذ 4 سنواتWalimu wote wa kigamboni watampa kura za ndio kama wanajua kulipa fadhila. Kawaokoa nauli za kila siku kwenye daladala
@
@salumjumaruhaga2513منذ 4 سنواتPosho Tu ya siku tatu ni mshahara wwa mtu ,bado mshahara wa mwezi
@
@martinesizya234منذ 4 سنواتHii video mmeedit, maneno na picha viko tofauti, mwacheni makonda afanye yake, acheni wivu, mnaroho mbaya sana, waliotia nia ni wengi mbona makonda tuuu kila siku, acheni ujinga 3
@
@japhetdaud3781منذ 4 سنواتJamaani Wana CCM , Makonda kama alipngoza majimbo yoote Dar, kigamboni itakuwa Hon Kong ya bongo
@
@allimsafari4896منذ 4 سنواتHii ni haki yao kikatiba kwa hiyo waachieni wananchi waamue ni yupi wanamtaka vinginevyo mkawakata walio chaguliwa na wananchi mjue mtapoteza majimbo na id="hidden15" class="buttons"> sijui hicho chama kitakuwa kimefadika ni hapo hilo Bashiri ulijue mapema. Mkiminya mtu atatokea dirishani atakwenda upande wa pili na atashinda.kauli ya Magufuli hiyo .na imewahi kutokea sana na mnakumbuka.acheni watu wawe huru na demokrasia ichukue nafasi yake.uonevu na chuki haujengi una bomoa chama. ....وسعت3
@
@nehemiaisakwisa8604منذ 4 سنواتKumbuka Kikwete tokea 1995 alikua anataka urais usipojitambulisha ndoto yako hakuna anae weza kukuotea ni bora Makonda ameonyesha kua hajali kupoteza cheo lkn anajua ninini anatakiwa kukifanya maana kila hatua ni njia
@
@kajembekimata6782منذ 4 سنواتMaana inamaana kwaasiyejua maana ya maana!?
@
@mashramadhani1989منذ 4 سنواتMakonda kiongozi shupavu na anaweza kabisa kuwa mbunge imara ..mm nitawaona ccm imara sana mkimteua makonda kwa maslahi mapana ya maendeleo ya taifa. 7
@
@habibamhina9075منذ 4 سنواتMakonda tunakuhitaji Sana kigamboni,wewe unaelewa mahitaji ya watu,mungu akunyooshee njia,tumechoka kuchagua watu wabinafsi,utakuta hospital hazina madkitar id="hidden17" class="buttons"> katika Jimbo lake yeye anapeta na kuijenga maghorofa yake,viongozi acheni kumsakama makonda,,ni haki yake,kuchagua na kuchaguliwa ....وسعت
@
@imeldakahyoza2225منذ 4 سنواتusiogope pambana naba nafunga kwa kusali.mungu akupe wepesi.
@
@hamismgogo5423منذ 4 سنواتHii vidio NI ya kubambika haiendani na sauti acheni usanii
@
@kelvinmtavangu8299منذ 4 سنواتJAMANI, RUSHENI CLIP SAHIHI. MBONA HIVI. KWANINI KUMTAJA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA KUCHUKUA FOMU. MWANDISHI ASEME UKWELI. REKEBISHA HILI. 3
@
@kosovoawadh1771منذ 4 سنواتSisi wannchi wa kigamboni tunamtaka makonda Sana tunampa miai kwa Mia muacheni
@
@abdulkhamis1170منذ 4 سنواتMakonda haki yake muacheni apambane hatimize ndoto yake
@
@omanseeb8609منذ 4 سنواتNamuombea mung apite ubunge na aje awe raisi anafaa sana tutapata maendeleo na tutakula bata 1
@
@wazirhaji6913منذ 4 سنواتTatizo lao wanatamaa ya madaraka makubwa haraka Ustaamilifu wako ndiyo mafanikio mazuri kwako
@
@charlesmpemba9387منذ 4 سنواتYaaani sisi tupo tayari kuandamana kigamboni msipomteua makonda.tunahitaji maendeleo sasa.najua akipitishwa 99% atachaguliwa 2
@
@imeldakahyoza2225منذ 4 سنواتwanaojitambua watampa kula za kishindo.maana huyo ni mkombozi.mimi nampenda maana kama sio yeye mateja wangekuwa wengi.mungu akupe wepesi makonda usiogopee.
@
@khalidballeth5957منذ 4 سنواتWahenga walishasema "Usipo sikia la Mkuu
@
@nichorausrichard3469منذ 4 سنواتKwan makonda kakosea nn Sasa mwacheeen anakubalika
@
@eneamligo7919منذ 4 سنواتMakonda anafanya kazi vizuri mpitisheni jamani
@
@hamidsalim3448منذ 4 سنواتMh Katibu. Nakupongeza sana juu ya khotuba yako. Ninaomba nipate mawasilano yako Nina mawili matatu niongee na wewe juu ya mwanachama mmoja ambae sii muadilifu. id="hidden19" class="buttons"> Mimi salim.quraish55@ Nikutakie kazi njema ktk ujenzi wa Chama. ....وسعت
@
@mulangilakabwarebenson5128منذ 4 سنواتKUA KIONGOZI SIKULENGA MSHAHARA IYI NDIO TATIZO LA AFRIKA KUTAJIRIKA MAPEMA BILA KUKOMAA. CCM HAIJATENGA MTU ILA NILAZIMA VIONGOZI WATAMBUE KWAMSTARI WA MBELE SHERIA INASEMA NIN
@
@ommygoldene3636منذ 4 سنواتNAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa id="hidden21" class="buttons"> ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ....وسعت1
@
@saidali4371منذ 4 سنواتhuyu mtoa post msenge sana maana hii clip haindani kabisa na hayo maneno. 2
@
@matukiosafaris6508منذ 4 سنواتMwacheni Makonda ana haki ya kugombea na tunamwihitaji kigamboni
@
@magangamdogo3301منذ 4 سنواتivi wa Tanzania mtabadilika lini ? Wanna ccm mbona sasa mnakua nakelo mtu anapo kose msihukum kwakosa Hilo muangalieni huko anapo toka kafanya mema yepi hamtaki kuangalia mna shikili kosa tu nakuhukum ndonini sasa
@
@clevermngao7565منذ 4 سنواتMamlaka ya Mawasiliano Tanz fuatilia baadhi ya mitandao inayotoa habari za uongo/ fake! Clip hii haiendani kabisa na kinachoongelewa hapa!
@
@josephmasawe3588منذ 4 سنواتYou Tube is doing well in dissemination of information to their customers.
@
@emmaticopetro1158منذ 4 سنواتHapa anawaambia watu wote siyo makonda tu, sema makonda amekuwa gumzo
@
@stephanomtatiro6221منذ 4 سنواتHuku kwetu biharamulo wamelamba hela njoo mwoene
@
@ukk9798منذ 4 سنواتMti wenye matunda unapigwa mawe, huo ni wivu tu. 1
Mwache apambane ni haki yake.
Hacheni kumwandama makonda bwana. 23
Ustaamilifu wako ndiyo mafanikio mazuri kwako
"Usipo sikia la Mkuu
Nikutakie kazi njema ktk ujenzi wa Chama. ....وسعت
IYI NDIO TATIZO LA AFRIKA KUTAJIRIKA MAPEMA BILA KUKOMAA.
CCM HAIJATENGA MTU ILA NILAZIMA VIONGOZI WATAMBUE KWAMSTARI WA MBELE SHERIA INASEMA NIN
Habari naitwa Hero msanii wa muziki naomba nikualike kutizama na kusapoti video ya mziki wangu mpya nao uzindua leo rasmi kwa id="hidden21" class="buttons"> ku SUBSCRIBE naomba SUSCRIBE yako shabiki wangu GUSA hapa kuona ....وسعت 1