@nasranoti08منذ 3 سنواتHuyu jamaa anaongea ukwel big up kwake
@
@kibibisafi3331منذ 3 سنواتBig up dalali kwa kuchapa kazi hauna bifu na mtu 4
@
@josesombo764منذ 3 سنواتWacheni kutafuta umaarufu mkitumia harmonize, harmonize yupo vizuri sana kama kaweza kumiliki label atashindwa kodi. Wanafki wakwende huko
@
@emanuelmajele7237منذ 3 سنواتHarmonize pigana vita maana wasio kupenda niwengi kuliko wanao kupenda
@
@namirihamisi3899منذ 3 سنواتYule baba aliesema kess ilifika mahakamani inabidi akutanishwe na huyu dalali ili kieleweke. 1
@
@muanashaswaleh5110منذ 3 سنواتKwani jamani wapange wasijenge kilasiku kujitangaza wana pesa 2
@
@mkalimwanza7726منذ 3 سنواتHivi wasani hawana hakili san kama mtu analipa miloni 2 kwa mwezi tu moja je ni kwa nini wasijege tu 2
@
@joymsupagladysijeya8384منذ 3 سنواتWaaa bado wana panga afadhali mimi ni House girl but namiliki yumba yangu patamu apo 17
@
@lutwfiyyahmkonga8093منذ 3 سنواتizo siyo sifa niujing tu sas kupang au kujeng dh. 1
@
@felisterjames9770منذ 3 سنواتHamo wanyoshe hawalali juu yako ngulue hao
@
@omarizuberi2300منذ 3 سنواتAngetafuta mahali pa chini but ingekua vizuri akanunua nyumba yake 1
@
@ashaali7154منذ 3 سنواتJicho la uswazi udaku na umbea sio intertainment kama unavyoeleza. Hamna kazi ila kufuatilia maisha ya watu tu tena kwa ubaya wala sio mazuri. Acheni hivyo.
@
@muanashaswaleh5110منذ 3 سنواتMisioni ufaari wanyumba yakifahari afadhali kununua ama kujenga lakini sifa zakupanga azinishtuii 1
@
@philemonmagesa5548منذ 3 سنواتHizo pesa wanazopata sijui kwann wasijenge au kununua nyumba wasanii wanapenda kupoteza pesa kwa ajili ya umaarufu wakati ni mambo ya personal life!!!! 3
@
@sharinv8864منذ 3 سنواتHuo ni ujinga heri hizo pesa akajenge yake sasa aja gani kujisifu na nyumba za kupanga . 3
@pilichumu9331منذ 3 سنواتBongo ni nchi ambayo inasopoet sana ujing hamonize anauwezo wa kununuwa kumi km 50.akazipanga mjini 3
@
@mgm412منذ 3 سنواتAnaejua biashara anapanga,kuwa na jengo lako la miliona 500 ni hasara na matumizi mabaya ya pesa,matajir kibao wanakaa apartments za kupanga duniani kote..so wako sahihi kibiashara
@
@hassanhamudy6639منذ 3 سنواتNani naelewa kinachoendelea kwenye hii clip???? 4
@
@wozanawewoz979منذ 3 سنواتHarmonize please Jenga mdogo wangu kama unasoma comments. 1
@
@zakariamachibula488منذ 3 سنواتAlikiba ndiye msanii pekee anayejielewa maana yuko kwake hasumbuliwi na mtu 3
@
@d.a.t3383منذ 3 سنواتNyumba kubwa Sio ufahari. Nyumba kubwa hivyo nunua ndogo nzuri au jenga 2
@
@user-wo8go6wc3dمنذ 3 سنواتHamoniz jafari sanamabaya yanammrudia ogopa sana mtu ambae unapga vita akawa kmya n mbaya sana 1
@
@fabianmainchanyangachika5017منذ 3 سنواتHivi kwanini wasanii wengi wanapanga badala ya kujenga? 3
@richardmapunda559منذ 3 سنواتHuyu jamaa anatafuta kiki sn yeye kila siku kesi za nyumba wa mastar mpk anakela 4
@
@muanashaswaleh5110منذ 3 سنواتSasa hawa wasanii wakupanga mbona kazi mnashindwa niwatu wawarabuni wanao lipwa pesa namakelele nao wana miliki mijengo yao 3
@
@eladiuspeter586منذ 3 سنواتHuyu jamaa anajiskia utadhani anamiliki real estate developers firm. Ila in short shule yake ndogo 1
@
@hadija846منذ 3 سنواتWabongo bana eti alipangiwa na Sarah Hahaaaahaaaaa Sarah kwani anafanya kazi gani? 2
@
@omansohar2245منذ 3 سنواتKma anayo hela c ajenge anae panga cku zote ni fukaramwemwejo mwe usiyapindingulanye mambo baa
@
@felisterjames9770منذ 3 سنواتMnamsema tu hamo wakat hata uyo Simba wenu kapanga
@happynjukiz6495منذ 3 سنواتOOHH NINA PESA NYINGI KUMBE MWENDO WA KUPANGA .
@
@rukkysayid6613منذ 3 سنواتUjinga tu hakuna kitu kizuri kama kuwa na pako lkn ww kila leo unahangaika makaazi tu, maisha yana kupanda na kushuka jiwekee chako mapema hata wazee wake id="hidden4" class="buttons"> bado hajawajengea hv inakuwaje kwa hawa wasaniii wao kazi kuhonga tuu ....وسعت2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على UKWELI HAMONIZE KUFUKUZWA KWENYE NYUMBA KISA KODI. - DALALI KIONGOZI:
Wasiokupenda kazi kwao 3