المدة الزمنية 8:38

Amphibia ni raisi wa nchi gani voxpop S04e05

بواسطة Bamba Live
117 941 مشاهدة
0
1.4 K
تم نشره في 2018/12/11

Join this channel to get access to perks: /channel/UCQntQMxSvcZYoJqEs5QEXjQ/join Enjoy this compilation of Tanzanian comedy videos, funny Tanzanian memes, skits, and much more brought to you by Bambalive your first choice for Tanzania comedy online. “BAMBA” is a Swahili word meaning “caught”. We expect people to have simple knowledge at the tip of their fingers hence at any place any the time our cameras get hold of you GET READY. Follow our social media accounts: Twitter ► https://twitter.com/bambalive1 Facebook ► https://www.facebook.com/Bambalive-185353615520969/ Instagram ► https://www.instagram.com/bambalive/ Tumblr ► https://www.tumblr.com/blog/bambalivecomedy EMAIL ► bambaliveads@gmail.com Don’t forget to subscribe, download, and share this video with your friends. #bambalive #comedy #voxpop

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 559
  • @
    @bobbyswagger4159منذ 6 سنوات kwa tcha apo bro umezingua.. umetengeneza scene kuonekana hajui.. jamaa alikuwa anadoubt kabsa bt umemlimit saana kumuuliza af ukampa choice izo tatu na id="hidden1" class="buttons"> zaid umemwambia kabsa "si nimekupa choice".. kwa mtu asiyefuatilia ayo mamb ya siasa lazima achanganyikiwe.. u av to change the way unaweka maswali yako na unavowa approach watu.. usiulize swali af ukaweka choice, ukiweka choice mana ake kati ya izo moja ni jibu sahihi.. learn from other presenters.. ni hayo tu ....وسعت 4
  • @
    @karimuissaamani6969منذ 6 سنوات jaman sjawahi pata like hata siku moja au ninagundu, basi weka like apo dahh! 24
  • @
    @onesmolwambano9349منذ 6 سنوات wangapi wamemuona mwalimu humu wa secondary 13
  • @
    @raymondelihuruma7121منذ 6 سنوات laif linachanganya maisha kinoma mpaka mwalim 8
  • @
    @hajrarkuziwa730منذ 5 سنوات Mwal mse* kweli huyu ili fagio la muhushimiwa halijampata bado amebaki kazini mwalim hujui amphibia hujui mkuu wake wa kazi akiona hii video wallah kazi Hana 6
  • @
    @lolanimals7206منذ 5 سنوات Hawa Watu Mbona Wote Kama Dishi Limeyumba, Au Nyie Mnawaonaje Jamani? 6
  • @
    @charzmbilinyi8235منذ 5 سنوات Huyo mwalimu nae chenga kweli broo ungempiga na Kofi kabisa 5
  • @
    @charliesim9565منذ 6 سنوات Huyo Ticha wanguuu hajui , Lolote hata class , ni maneno tupu 1
  • @
    @isayabalthazarymsacky7783منذ 5 سنوات siku moja uje bunju "a" shule 2
  • @
    @josephatipanda2451منذ 6 سنوات Apana haya n maswali yanayomfanya mtu afikirie watu mmezoea maswali ya direct bila kushughulisha ubongo wako, we kwel umesoma japo hata mt kaishia shule id="hidden3" class="buttons"> ya msingi lkn amphibia n neno tulofndishwa toka darasa la nne, we leo unataka jib la direct? Ndio elim tulopandikiziwa tang enz lkn silaum mt ....وسعت
  • @
    @mansooralmahruqi885منذ 6 سنوات HAya sasa ni majanga makubwa kwa taifa,watu elimu duni lakini kila mtu wakanza kijihusisha na siasa na kuwahi kutoa maoni
    Tupigane ma jana la ujinga ndio maana tunatawaliwa kimbumbumbu
    1
  • @
    @ibrahimiddy8385منذ 5 سنوات jamani huyo mwalimu hata Kama yeye amesoma masomo ya arts lakani amphibian na reptilian darasa la sita hivo vinapatikana hata Kama hujaenda secondary 1
  • @
    @rasvegas8991منذ 5 سنوات Huyo mwalimu mbuzi hkna haja ya mshahaara kuongezaa
  • @
    @mtonitvمنذ 5 سنوات Usiache ku subscribe channel yetu ya mtoni Tv..Uone mengi yanayojiri mto wa mbu.. Na kote ulimwenguni 2
  • @
    @arnoldalphonce6885منذ 6 سنوات Next time weka maswali ili mtu aweze fikilia mwenyew mfano. Unaelewa nini kuhusu neno Amphibia?? 1
  • @
    @charlesmwanyika1950منذ 5 سنوات Mtaani kwetu Magomeni makuti mtaa wa somanga
  • @
    @richardkwayson7202منذ 6 سنوات Ivi yule mwalimu mwenye upara anafundisha shule ya wapi 1
  • @
    @linusngure9944منذ 6 سنوات nikiwa kama msaidiz wa rais mwalimu Kwa nzia leo huna kaz icho ki preedeeety peleka kwenu 1
  • @
    @seifbaus7منذ 6 سنوات Huyu mwalim ndie mjinga zaid kuliko wote,duh banda linasaidia sn.
  • @
    @rehemamuingia7677منذ 6 سنوات kiukweli nimeangali hii video nimecheka sn 1
  • @
    @designskeymediaagency7169منذ 6 سنوات usiache kusabskwanjii channel yetu .babu bana hahahahahaha 2
  • @
    @idrisdemeng7240منذ 5 سنوات Huyu mwalimu, kachapia kinyama hivi kaponaje huyu na sakata la walimu fake?. 3
  • @
    @abelgervas4663منذ 5 سنوات Aaaaaaaahaaaaha hii inaonesha nijinsi gan watanzania wengi hawana elimu daaaaaah 1
  • @
    @richardmichael7523منذ 5 سنوات Bobcat anajaa wadau upepo sana! Eti Godzilla naye Amphibia
    Hahahahaahhahaha
    2
  • @
    @allykione4429منذ 5 سنوات huyo mwl wa secondary nae anapredict mwanafunz wake je??? 1
  • @
    @hamisidaud9912منذ 6 سنوات Hahaaaa, kifua kinaniuma,
    Hahaaaaaaaaa, usiache kusabusikwashiiii Chanel yetu
    2
  • @
    @hanafispesho7007منذ 5 سنوات Daa hataticha hiinishida Mimi nachangia nikikosa nisaidieni niviumbe wasio taga 1
  • @
    @jacobmwaseba5923منذ 6 سنوات kuna kufeli kwa aina mbili mwalimu kushindwa jinsi ya kuuliza swali na mwanafunzi kushindwa swali, hapo mwalimu umefeli mana ndio inawezekana raisi akawepo id="hidden5" class="buttons"> anitwa amfibia ( mfano kuna msanii anaitwa SIMBA) ko unafikili ukisema taja nchi gani anatokea simba nitasema hapana ni mnyama hapo nitasema ni TZ ....وسعت 1
  • @
    @gilbertgalus5352منذ 5 سنوات Mwalimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Pasua kichwa
  • @
    @mpegesaaswile6581منذ 6 سنوات Haya siyo maswali ya kiakili hata kidogo maana ni kweli amphibia akawa rais au kundi la wadudu wenye damu baridi kama chura, lakini pia mtu anaweza kujipa jina la amphibia na akawa rais 1
  • @
    @avitymendezy9891منذ 5 سنوات Amphibia pamoja na kuwa ni jamii ya viumbe waishio majini, sio ukweli kwamba haliwezi kuwa jina la mtu kwa sababu, ukisoma lugha huwa tunasema jina ni id="hidden7" class="buttons"> jina ko laweza kutumika bila hata uhalisia wa kitu chochote ko pamoja na kuwa hilo ni jina la kundi flani hata kutumika kwa mtu inawezekama. Mfano mzuri ni Diamond au Platnum. ....وسعت 2
  • @
    @ommyweather346منذ 5 سنوات Huyo mwalimu kweli Chenga duh haha! Aah! Aah!
  • @
    @happyarooun6037منذ 6 سنوات yaani mwalim halafu hajui reptilia amfibi looo afaa kutumbuliw 1
  • @
    @chrismbalilaki2445منذ 6 سنوات Huyo mwalimu kapona kwenye vyeti feki!!!!!!
  • @
    @dalalimollelarusha7151منذ 6 سنوات Oyooooooo usiache kusabuskwani Chanel yetu
    Nitapredict Ghana
    2
  • @
    @mamlakakahise819منذ 5 سنوات Anazingua huyo amphibia rais kivip sasa,?? 1
  • @
    @kingkiwango1435منذ 6 سنوات presenter nmekuelewa yan MTU aktaka kupatia Ww unamchanganya na kumpoteza kias kwamba hata anaejua anaanza potea 1
  • @
    @aminaluttu649منذ 5 سنوات We mtangazaji mungu anakuona uyo wa kusabscrib 1
  • @
    @eliasjilanga2320منذ 6 سنوات Bob cat huyo mwl, kapitwa wap na vyet fet??????? 1
  • @
    @saheelameir4313منذ 5 سنوات acheni kuaibisha watu nyinyi kwa mambo ya kihuni
  • @
    @maureenmuhonja722منذ 6 سنوات amphibian: e.g. frog, salamander anthracosauria etc. are animals living within arboreal or freshwater
  • @
    @godfreymlimbila2417منذ 6 سنوات Huyo anachojua yeye kuvaa bagrashia tu 1
  • @
    @maseketeمنذ 6 سنوات Haha nisaidieeeeeee. wewe wajua kusabusikwaniiii channel haha nisaidieeee 2