Rais #Magufuli amesema ametoka na machungu ya kumzika Mzee #Mkapa na machungu mengine ameyapata kwenye barabara hiyo kwa kukuta barabara haijatengenezwa, hata mashimo madogo madogo
Amesema barabara hiyo inaharibika kutokana na mizigo inayopakiwa kwenye malori yanayobeba mizingo na Regional Manager wa Barabara ameshindwa kudhibiti hata kwa kuweka mizani wanapobeba mawe