المدة الزمنية 6:28

Mabadiliko yaliyotangazwa na TCU baada ya agizo la JPM kuhusu Udahili Vyuo Vikuu

بواسطة Millard Ayo
19 300 مشاهدة
0
121
تم نشره في 2017/07/20

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetekeleza agizo la Rais Magufuli lililoitaka Tume hiyo kutowachagulia Vyuo Wanafunzi badala yake waombe wenyewe Vyuo wavipendavyo.

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 13