#Chadema #UchaguziMkuu #Tanzania #Zanzibar
"Ni vyema Umma wa Watanzania Ukajiandaa na tunasisitiza kauli yetu kama Chama kwamba kwa namna yoyote ile,Umma wa Watanzania Muungane na sisi kuhakikisha Mawakala wetu wanakuwepo ndani ya vituo vya kupiga kura.” Katibu Mkuu wa Chadema @jjmnyika
#vambatv_updates