المدة الزمنية 2:56

TASWIRA KIMATAIFA : Raia nchini Ethiopia wanaendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi mkuu

بواسطة Dalmus Sakali
63 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/06/23

Raia Wa Ethiopia Wanasubiri Matokeo Ya Uchaguzi Mkuu Uliofanyika Siku Ya Jumatatu, Katika Nchi Hiyo Ya Pembe Ya Afrika. Uchaguzi Huu Ni Kipimo Cha Demokrasia Katika Nchi Ya Pili Kwa Idadi Kubwa Ya Watu Barani Afrika, Inayooongozwa Na Waziri Mkuu Abiy Ahmed. Tafadhali SUBSCRIBE kupata uhondo zaidi #Taswira_Kimataifa #EthiopiaElections #NicolasSarkozy

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0