Baada ya kuepo mjadala mtandaoni kuhusu kumpa hela (matunzo) mwanamke unayekuwa naye kwenye mahusiano, ambapo wapo wanaodai siyo lazima kumpa mwanamke hela huku wengine wakisema ni wajibu wa lazima mwanaume kumpa mwanamke wake hela.
Swala limemfikia Mwijaku na hapa amefunguka ishu hiyo...PLAY kusikiliza.
@shantalismailhassan9878منذ 3 سنواتUko sahihi Mwijaku. Watu wengi wanaleta uhuni tu yote ni kutokuwa na elimu ya kutosha. 2
@
@sharifaabdullah6825منذ 3 سنواتMiitano' tena mwijaku nakupenda bure walah 3
@
@lissadanford7171منذ 3 سنوات umenena vyema sana bro waambie wanaokurupuka kuja kuongea utopolo 1
@
@mamawadudu48منذ 3 سنواتKweli kabisa. Wanawake tusikubari kuchezewa. Na tusichezeane kabisa na tusipeane hela kabisa. Hakuna kutoa starehe kabla ya ndoa hakuna kuombana. N id="hidden1" class="buttons"> />Mwanaume Ukioa ndio uhudumie na ukubari kuombwa hela. mwanaume usiombe mzigo kabla ya ndoa hutaombwa hela ....وسعت3
@
@aloycejeremiah7137منذ 3 سنواتDah jamaa anatema madini vijana tujifunze kitu 3
@
@riodeclan5504منذ 3 سنواتWa kutoa na watoe ambao ni members ubahili club frxh 2 4
@
@hawaabdallah4782منذ 3 سنواتMwijaku nakupenda kutoka uvunguni mwa moyo wangu love you
@
@junuferjinu1444منذ 3 سنواتYANI HAYA NDOYAKUONGEA WW NA MASUDI NAOMBA SEREKALI IWAFIKIRIE KUUSU SANAMU 5
@
@OnlyRukyمنذ 3 سنواتUwiii kachomoa betri kumbe kp ana wake 2. 3
@
@kibongobongo4608منذ 3 سنواتMwijaku njoo huku uone vile umewafurahisha wanawake 1
@
@farijala1منذ 3 سنواتWewe mwijaku Umedandia Bila Kuelewa. Alichokisema Bwana Max ni Kuhusu Hawara hajasema Mke. 1
@
@aishasaid6749منذ 3 سنواتWaambie haoooo mwanamke ni wakupewa bwanaaa 3
@
@kebekebeeمنذ 3 سنواتHatukatai majukhum ila swala LA haki sawa lifutwe 1
@
@upendowakwelinaamani1060منذ 3 سنواتMwijaku sauti inatosha baba wataelewa tu!
@
@zainabkazige7388منذ 3 سنواتMwijaku nimekupenda bure leo, uanaume ni majukumu sisi ni wasaidizi wenu nyie wanaume..maisha ni kusaidiana ila mwanaume ndo kichwa, mpenzi wako asikuombe hela akamuombe nani akipata shida?! 6
@
@rose_Winchester86منذ 3 سنوات waambie waelewe wengi wao hao hawajielewi. Mwanamke anahitaji financial security. 5
@
@salmaathuman9156منذ 3 سنواتMwanamke anahitaji matunzo na sio unamchaza kujifanya unampenda yaan haujulikani kama una mwanaume au laaah sasa nisipokuomba ww mpenzi au mume wangu nimuombe nani ahsante mwijaku
@
@Emedroadtocanadaمنذ 3 سنواتkuna jitu huku mtaani kwetu linasema ET NATAFUTA MWANAMKE MWENYE PESA ILI ANISAIDIE MAJUKUMU YA NYUMBANI jamani sikapotea huyu 5
@nicholauslaurent5454منذ 3 سنواتKwa hy tuache kutafuta pesa tuwe tunawawaza wanawake, yan uchanganyikiwe kisa umeoa, yy ndo utaratibu wake sio wa kwangu!!!!
@
@abdulsimba7052منذ 3 سنواتilo swala la mwanamke kua anafanya kaz afu kusema ile hela hainihusu mm natakiwa nimpe huduma zote so kwer mm kukubar mke afanye kaz inamana kuna huduma id="hidden4" class="buttons"> cpati kwa mda furan kama anaenda kazn asubuh ad jioni lazma mm kuna mahtaj yatapungua sababu hayupo ko ile kaz mm nikikwama so mbaya akinisapoti mana kuna majukum yamepungua ndan sababu ya hiyo kaz ko kusaidizana ni lazma ....وسعت
@
@mabakoaisha2473منذ 3 سنواتMuijako nakuaka nakukubali ila apo une faili kabisa muanamuke ni kidudu kibaya sana utakutana analiwa na wezako broth aca naye
@
@ommietrendz7175منذ 3 سنواتMtu ukioa unatoa kawaida mbona Issue ni hawa slayqueen wetu mjini na ndio wanaoongea walioolewa hawaongei 1
@
@issanicholaus6304منذ 3 سنواتNALO ILI HALIJIELEWI LOVE IS NOT ABOUT MONEY. 1
@
@hasanrashid1244منذ 3 سنواتWe unafikili ukiwatetea ivyo ndo watakupenda .awana shuklani ao .we jifanye unaudumia sana na bado unagongewa tu .alafu .wanawake waliosapoti ndo hao wabinafsi sana ela yako itumike nyumbani .ya kwake akajenge kwao 1
@
@RamazaniMulongecaمنذ 3 سنواتAm the ’s Best , if you disagree with that, comment ’s on all YouTube channels you watch. INTERVIEWS ARE AWESOME .
@
@aishasaid6749منذ 3 سنواتUkiona mwanamke anakuomba pesa faster bas ujue na wew umemuomba mapenzi mapema sasa huaga tunasema ukitaka kumjua mwanaume sahihi kwako muombe pesa kam id="hidden7" class="buttons"> ni kweli ana nia nzuri ya kukuoa atakupa na mapenzi yataendelea kama ni mchezeaji ndio anakublock faster ndio hao wanaoropokwa kwenye madia oooh hatutaki kuombwa hela ....وسعت
@
@onesmoretz2785منذ 3 سنواتMax kaongelea mpenz na sio mke tuelewane apo 1
@
@manungda9955منذ 3 سنواتAngalia pua lake kama mkia wa ngiri pori, una mitizamo mbofu kama wa Shabiki wa Yanga. Mwanamke wa kuishi naye kwa akili huyu siyo mwanamke.
@
@gasparmpoma3860منذ 3 سنواتAmbaye anataka nimpe hela acomment hapa 1
@
@mamawadudu48منذ 3 سنواتKweli kabisa. Wanawake tusikubari kuchezewa. Na tusichezeane kabisa na tusipeane hela kabisa. Hakuna kutoa starehe kabla ya ndoa hakuna kuombana. N id="hidden8" class="buttons"> />Mwanaume Ukioa ndio uhudumie na ukubari kuombwa hela. mwanaume usiombe mzigo kabla ya ndoa hutaombwa hela ....وسعت3
@
@abdulsimba7052منذ 3 سنواتilo swala la mwanamke kua anafanya kaz afu kusema ile hela hainihusu mm natakiwa nimpe huduma zote so kwer mm kukubar mke afanye kaz inamana kuna huduma id="hidden11" class="buttons"> cpati kwa mda furan kama anaenda kazn asubuh ad jioni lazma mm kuna mahtaj yatapungua sababu hayupo ko ile kaz mm nikikwama so mbaya akinisapoti mana kuna majukum yamepungua ndan sababu ya hiyo kaz ko kusaidizana ni lazma ....وسعت
@
@RamazaniMulongecaمنذ 3 سنواتAm the ’s Best , if you disagree with that, comment ’s on all YouTube channels you watch. INTERVIEWS ARE AWESOME .
@
@aishasaid6749منذ 3 سنواتUkiona mwanamke anakuomba pesa faster bas ujue na wew umemuomba mapenzi mapema sasa huaga tunasema ukitaka kumjua mwanaume sahihi kwako muombe pesa kam id="hidden14" class="buttons"> ni kweli ana nia nzuri ya kukuoa atakupa na mapenzi yataendelea kama ni mchezeaji ndio anakublock faster ndio hao wanaoropokwa kwenye madia oooh hatutaki kuombwa hela ....وسعت
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MJADALA WA KUMPA PESA MWANAMKE WAMFIKIA MWIJAKU, KAFUNGUKA BUSARA ZAKE MWANAMKE AKUOMBE ANACHOTAKA:
id="hidden1" class="buttons"> />Mwanaume Ukioa ndio uhudumie na ukubari kuombwa hela. mwanaume usiombe mzigo kabla ya ndoa hutaombwa hela ....وسعت 3
Issue ni hawa slayqueen wetu mjini na ndio wanaoongea walioolewa hawaongei 1
INTERVIEWS ARE AWESOME .
id="hidden8" class="buttons"> />Mwanaume Ukioa ndio uhudumie na ukubari kuombwa hela. mwanaume usiombe mzigo kabla ya ndoa hutaombwa hela ....وسعت 3
INTERVIEWS ARE AWESOME .