المدة الزمنية 9:46

MEMBE AWEKA WAZI MAMBO YALIYOMTOA CCM/ HIZO NI DHARAU

بواسطة MwanaHALISI TV
38 584 مشاهدة
0
192
تم نشره في 2020/09/01

Membe ataja mambo 4 yaliyomfukuzisha CCM BERNARD Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo, ameweka hadharani mambo manne yaliyosababisha kufukuzwa Chama Cha Mapindu (CCM). Anaripoti Faki Sosi, Lindi (endelea). Membe alifukuzwa CCM tarehe 28 Februari 2020 akituhumiwa kukiuka miongozo na taratibu ya chama hicho tangu mwaka 2014. 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402), 🔘WhatsApp ( +255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 144