المدة الزمنية 4:7

RAIS DK.MWINYI AMEKUTANA NA KAMATI YA MASHINDANO YA MARATHON

بواسطة BinAme Media
22 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/06/25

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kufanyika kwa Tamasha la Mashindano ya Kimataifa ya Marathon (Zanzibar International Marathon – ZIM ) hapa nchini, kutaonyesha utayari wa Serikali katika kuvutia Wawekezaji, hususan kupitia sekta ya Utalii.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0