المدة الزمنية 2:52

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Dkt.Dorothy Gwajima amechukua hatua

بواسطة Ngocho Tv
65 مشاهدة
0
6
تم نشره في 2021/12/25

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Dkt.Dorothy Gwajima amechukua hatua kwa kumuagiza mganga mkuu wa mkoa wa Mtwara kumfanyia uchunguzi wa vipimo kwa kina Mgonjwa aliekatika vidole nane vya miguu Betina Emmanuel, mkazi wa Mbae Mashariki Manispaa ya Mtwara Mikindani baada ya kuona taarifa hiyo kwenye mitandao ya kijamii.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1