المدة الزمنية 31:50

UJUMBE MZITO WA DC JOKATE KWA RAIS MAGUFULI : NACHAPA KAZI KWA HESHIMA YAKO/ NILIITWA SISTER DU

بواسطة Wasafi Media
33 986 مشاهدة
0
297
تم نشره في 2020/06/06

Ikiwa ni takribani miaka miwili sasa tangu uteuzi wake uzue gumzo kubwa hapa nchini, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo anasimama katika Msumari wa Moto huku Charles William na David Rwenyagira wakihakikisha majibu ya maswali mbalimbali yanapatikana. Karibu uweze kutazama mahojiano haya kutoka wilayani Kisarawe, mkoani Pwani katika kituo cha kazi cha DC Jokate Mwegelo

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 46