المدة الزمنية 6:17

SHULE SITA KANDA YA ZIWA KIDEDEA MATOKEO DARASA LA SABA

بواسطة Mwananchi Digital
3 932 مشاهدة
0
9
تم نشره في 2018/10/23

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia 4.96 kwa mwaka 2018. Ufaulu wa masomo ya Kiingereza, Hisabati, Sayansi, Maarifa ya jamii wapanda wakati Kiswahili watajwa kushuka.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0