Katika Video hii... nimejaribu kuwaelekeza jinsi yakupika keki kilo 2 kwa biashara na kwa upambaji
Social media
-Instagram @mziwanda_bakers
Asanteni
Ingredients
Unga /Flour 2kg
Mayai/Eggs 20
Maziwa/Milk 1ltr
Sukari/Sugar 1200g
Margarine 1000g
Ladha/Flavour 10mls
Baking powder 60g
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 378
@
@glsflorahflekerntuuyozangeمنذ 4 سنواتThank you for sharing,very nice cakes .,but where can i buy that oven and trays ??.plz thanks
@
@ilhamkeis9609منذ 4 سنواتDada mziwanda ninerudi tena,nimejaribu recepe leo wallahi nataman nkutumie picha,cake zimetoka vizuuti sana na kaini.. Nakuombea kwa Allah subhaana id="hidden1" class="buttons"> huu wataala azidi kukufungulia rizki na kukuzidishia ujuzi na barka zaidi..aamin na shukran sana dadaangu. ....وسعت7
@
@alexandrinadomaino9868منذ 4 سنواتWoow safi sana unaongea vizur thanks dear. 5
@
@halimavuhya5881منذ 4 سنواتMashaAllah inavutia kweli mm naomba kama waweza kunipa vipimo ya kutoa keki kilo moja tu nimpikie mwanangu ya birthday. Asante 1
@
@husseinparco9640منذ 4 سنواتMashallahu tumependa Allah akuzidishie inshallah 1
@
@mariamsamson3927منذ 4 سنواتKazi nzuri hongera.. naomba kujua naweza weka maji badala ya maziwaah..
@
@fahimanassor9696منذ 4 سنواتAsante sana mamy naomba kujua hivyo vikopo nikimwambia fundi anitengenezee nimpe kipimo gani
@
@officialnaa8470منذ 4 سنواتHongera sana nimependa vipimo tu naomba iwe rain 1
@
@judithfrank4968منذ 4 سنواتkazi nzuri dear, nimeipenda, nauliza ni aina gani nzuri ya baking powrder kwa ajili ya keki na maandazi pai 1
@
@aminamwashabwi6470منذ 4 سنواتA. Alykm Dadaa. Mzima kweli? Kimya Sana. tumekosa video zako Sana wallah
@
@charlesnams1358منذ 2 سنواتKazi safi sana hongera! Na je mko nafasi ya kuonyesha mtu moja Kwa moja
@
@suzanealoyce6589منذ 3 سنواتHongera sana Dada asante kwa somo zuri
@
@user-bm5md2tz7rقبل 3 أشهرThanks quantity ya all those ingredients plz dada
@
@hussenjuma1049منذ 2 سنواتMinaomb kuuliz kwann mm nikipika keki haikai Lev inajaa upand mmoj
@MariamMohamed-bw8xfمنذ 4 سنواتDada mziwanda naomba tuwasiliane ili tuonge kuhusu hizo mashini dadaangu plz mm niko njee ya Tanzania
@
@kasawakiraba4434قبل 11 أشهرHello mziwanda baker sorry hapo kwenye maziwa naweza tumia kimiminika gan tofauti na maziwa?
@
@sheilasalum5325منذ 3 سنواتMashaallah mie nataka kujua bei ya oven na mashine
@
@magrethnzoyo1211منذ 2 سنواتHabali mafunzo ya keki sh ngapi? Na ni muda Gani. Asant
@
@saraphinamwaluko1439منذ 5 سنواتHongera sana kazi nzuri. Mungu akujalie zaidi na zaidi. 1
@
@najlaskitchen1572منذ 4 سنواتDada naweza tumia handmixer kwa keki hii ya kilo mbili?
@
@sherrysaleh4633منذ 4 سنواتAs.kum habibty naomba kujua Kwa mchanganyiko huo wa 2kg unatoa cupcake ngapi ndani yake za 500 miatano.please.
@
@sarahwilson586منذ 5 سنواتHongera Sisy.. Nimefurahi kuona kazi zako huku. Big up. 1
@
@ashanassor7103منذ 5 سنواتAsante Mimi niko Uganda lathaa hizo zapatikana 1
@
@anethmpoma1132منذ 4 سنواتSamahani Dada,,kwenye baking powder ni 60g ambayo ni vijiko vingapi? 1
@
@dorineanatory5161منذ 4 سنواتNilitumia hii recipe cake ilitoka vizuri sana. Asante
@
@fatinasempanga2455منذ 4 سنواتMe naomba kujua kinachofanya cake iwe na unjano mzuri ndani na sio brown
@
@glorymsof5879منذ 3 سنواتNimeipenda sana kwa kwel sasa napataje hivyo vikopo jaman
@
@rehemavincent5034منذ 4 سنواتHi mziwanda, Je natakiwa ku preheat kwa muda gani na Moto wa kiasi gani?? natumia oven mdogo Pia wakati wa kuoka natakiwa kuset baking function/option ipi ??natumia PMC oven
@
@elizabethsamwel9655منذ 4 سنواتZimetoka cake ngap? Na ukumbwa Wa inch ngap? Thanks sis.
@
@muznasilima5978منذ 2 سنواتHabar dada Nimejaribu kufany Ila sikuziweza hazikuvimb hlf km zilikua na nzito na majimaji
@
@dorcasbundala2597منذ 3 سنواتIts nice, bt nmejarbu yangu haina weupe mzur kwa ndan na ulaini
@
@janethamars7262منذ 4 سنواتJamani mkoa wa mwana amna wauzaji wa cake mm niko nyehunge buchosa nataka cake ya birthday ya mwanang
@
@brenderminani94منذ 5 سنواتMungu akudaidie katika kazi yako Upo vzr nimeelewa ila vizur ungetuambia sukar kiasi gani bluband kias gan kula kitu ulichotumia ni kiasi gani nakupenda na kazi yako
@
@bettymassanja881منذ 4 سنواتSamahani dada Mziwanda Bakers, gram 60 ni sawa na vijiko vipimo vingapi tafadhali?.
@
@tumainijacob6018قبل 9 أشهرNaomba vipimo vya cake ya unga kilo mbili
@
@zunaidahkhatym4175منذ 4 سنواتNaomba utuwekee na vipimo sijaona mfano baking powder umeeka vijiko vingapi
@
@brenderminani94منذ 5 سنواتDear ninashida na namba yako ya biashara
@
@sabrasalum8898منذ 4 سنواتnaomba namba ya whatsup pls kama hnafundisha kwenye whatsup
@
@agnessahia415منذ 4 سنواتHivi nisipo weka maziwa inakuwaje na cupcakes ukiziweka maziwa zinachukua mda gani bila kuharibika dada naomba unijibu pls
@
@sharoo_cakesمنذ 2 سنوات@Mziwanda bakers jee waeza nisaidia na vipimo za tin yako ya shepu na mkate(loaf pan)???? nitashukuru sana
@
@azzahsaed7687منذ 4 سنواتHabari keki nzuri ma sha Allah Lkn naomba kuuliza zinaweza kukaa mda gani bila kuharibika kwasababu umetuma maziwa au lazima zikae kwenye fredge
@
@lmmaculatetoto3957منذ 4 سنواتBeautiful, nitajaribu ata Mimi, nakupenda sana
Nakuombea kwa Allah subhaana id="hidden1" class="buttons"> huu wataala azidi kukufungulia rizki na kukuzidishia ujuzi na barka zaidi..aamin na shukran sana dadaangu. ....وسعت 7
Je natakiwa ku preheat kwa muda gani na Moto wa kiasi gani?? natumia oven mdogo
Pia wakati wa kuoka natakiwa kuset baking function/option ipi ??natumia PMC oven
Nimejaribu kufany Ila sikuziweza hazikuvimb hlf km zilikua na nzito na majimaji