@pascalmsechu68744 years agoWhere is the government intervention in this youth's ideologies..?! These guys make Arusha unique and unstoppable for raising talents ...Asanteni sana machalii wa R....more like ..... 7
@
@shabanathuman26964 years agoArusha ni yetu, tuachen tupige dede A city for the life 74
@
@emmanuelskmtanzania244 years agoArusha city ni Marekani iliyopo Tanzania 🏍🏍 17
@
@ramadhanihudhaifani43764 years agoHuku ndiko mambo ya pikpik yalipoanzia buana! Chuga hoyeeee...👍👍👍🙌🙌 4
@
@philip7884 years agoHii kitu nilikua naonaga mambele tuu, big up sana Chuga Boyz mko vizuri sana mnaweza shindana ata na watu wa mambele(ulaya). 4
@
@honorykwahhay43644 years agoMachalii wa R-chuga ni shidaa, shedede, hawaogopi kitu wowote, respect sana arifu!! 2
@
@kingjosse47814 years agoA can call them cowboy's Like those in Texas USA keep it up machalii zang 6
@
@gemkachar4 years agoVijan wamekosa wateja. Vijana wamekosa ajira. Wanahatarisha maisha yao. Wakishapata majeraha hawana hela za kulipa gharama za hospitali. Wataanza kuomba serikali iwasaidie. 2
@
@daviesrankingz61214 years agoMadingiwesee piga kelele Tanzania bila Arusha haijakamilika...huo ndo mkono wa budah 13
@
@PuppyTale3 years agoNi lil Puppy hapa- natazama kutoka kenya..Kisumu.. Mimi ni CEO PUPPY TALES ENTERTAINMENT 💥💥🥂 NIMEFURAHIA 1
@
@hanstenkeedy35024 years agoMm sishangai kabx maana chuga mhhhh maana bangi ya chuga tofauti na ya mwanza 😂😂😂😂😂😂😂 42
@
@peterkibuga4014 years agonaomba mwenye mbegu ya bangi za chuga nipande mwaka kesho mtaniona kwenye mashindano ya dede huko 😂😂 5
@
@40kstore4 years agoHiyo hela mnayolipwa ni ndogo sana 🔥🔥🔥 3
@
@hijaTz3 years agoMambo yente aipingwi aikatai_Kama vp gonga like a po chini twende sawa wajuba
@halimamohammed41082 years agoKifo mkononi polen wazazi maana hiii kitu mda wowot 😭😭🙏🙏🙏 1
@
@jsmastory57704 years agoMm ni mkazi wa dar es salaam ni kijana , ila hakuna watu nawaelewaga kama watu arusha nawaogopa sana wanajiamini kila sector wapo ...12
@
@ummuadam24234 years agoNaweza kunyayua Thairi mojaaa fresh😀na kupata kipatho 1
@
@wazirisukari51784 years agoWako vzr ila wavae vitu vya kujikingia sasa 2
@
@gaudinamosnchobe49094 years agoAwa wakija dar akikwapua kibegi chako ata auwezi kufukuza 27
@
@shaficabdalaziiz2184 years agoBig up vijana, ukiwa na kipaji inabidi ukifanyie kazi na sio kukaa ndani. Pamoja sana. 1
@
@Evo_Tv14 years agoHongera Sana Millard Ayo 1: kufikisha viewer's billion 1 2: kufikisha subscribers millions 3 Viva Ayo Viva 2
@
@missmoona44973 years agoYaan akipiga mweleka hapo haamki, harafu hawavai mavaz speshow kama wazungu hata element hawavai, wanachukulia poa kweli bang sio chai🙌🙌🙌🙌🙌
@
@boazsamwel61114 years agoMichezo ipo mingi saaana ..waziri wa michezo inabidi aangalie sio Muchezo wa mpira miguu tu.. kama unakubariana na mm gonga like
@
@mrjun2562 years agoBig up bro we need to join you from uganda
@
@izackslaa62404 years agoDede kweli wahuni wangu mmekimbiza Ila ngadu sjaona kabisa yani 1
@
@abbatv59394 years agoWatu bhna sehem ya comments wanaomba like duuh sijui mnataka kuzifanyia nini hizo like 3
@
@cheiknamouna20584 years agoStanley mwanangu huo mchezo siyo mzuri unahatarisha maisha yako nakuona ujue
@
@alextercisio3 years agoIn Kenya if you try such things be sure u will find yourself in court ....very entertaining Arusha mko sawa 1
@
@lucasjames21024 years agoKelvn Gabriel ndo juuu zaid nimemkubal kinomama style yake imezid wenzie 3
@
@nuruworldinsight29574 years agoDaaahh hawo wasenge wa chuga wanatisha Aiseee .big up kwaoo
@
@khadejarajab80074 years agoChuga kama chuga hiyo hatari na nusu 😂😂😂😂💥💥💥💥 16
@
@sweetmama68854 years agoMchezo mzuri. Ila hawa vijana hawana vitu special vyakuvaa endapo mtu ataanguka kwa baati mbaya asiumie. Jamani chunge vichwa, migongo, magoti na mikono. Saaaana vichwa na migongo. Vikipata shida ni hatari sana kwa maisha. 3
@
@ibahatimoses64314 years agoNawakubali wana Kaskaz @simoo na mwenetu Kelvin kwamaretu moja
@
@mantyara99814 years agoJamaa anaclaim pikipiki itaharibika ikapata ajali ila sio yeye daah🍁🍁
@
@Martin-lv1xw4 years agomachali ya R vpaj ni vingi na tunafanyaga mengi hiyo ni sample ya eneo moja tu. kama wajuba wanafanya hiv na bodaboda ambazo ni nzito na cyo special kwa michozo wakipata pikipiki za michezo ni kisanga kilo2 hivi. 1
@
@bryanfelix11724 years agoImeisha Hiyo big up to my City R-chuga
@
@marthawillium99204 years agoHi ndo kitu naipendeaga chuga yangu, hainaga kuiga bongo👌
@
@salumkhassan9303 years agoUsalama Hawa Kuzingatia Ni Hatari Kwa Usalama Wao
@
@mohammedmmari54594 years agoArusha haiko Tanzania arusha ni nchi knayojitegemea😐🤨🤛🤛🤛🤝🤾♂️🤸♀️🤸♂️🤸♂️🧗♀️🧗♀️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🕺 2
@
@officialmrdeo81164 years ago😂😂😂😂 Hakika hakuna mji naupenda kuutembelea kama Arusha Wenyeji wa Arusha Nikaribisheni Basi 3
@
@uwezowamunguutendaokazi30434 years agoMichezo iyo ni hatari sana. Dodoma mmoja alisagika kama nyama ya kusaga. Mungu mkuu awasaidie wote. Amen
@
@machintangachibwena59224 years agoShow nnzuri sana hiyo ila ungewashauri wavae da headment
@
@sapic1214 years agoHahah raska apo sakina kama umepasoma gonga like 5
@
@habarikazanzibar36674 years agoMuje na Huku Zenji, tunanyanyua mpaka Vespa 8
@
@dtejoz4 years agoMa-Home boy mmeongea kama mpo Ungalimi😆😆😆, em jielezeni vizuri mkae kibiashara! 1
@
@bwaxmeishaa80594 years agoChugamaica wahgwan wote monsterbraaaaaap hapa wakilisha Sana
@
@alluminiumexperttz.12mview134 years agoSo funny but too risky. They need special clothes and special bike for this game. 21
@
@ladigracialyakurwa5974 years agoThe danger thing is no protective gears lol! 9
@
@fredyjohnwaifakaratanzania294 years agoDingiweseeeeeee ngingange wanaume wa darfreede hawauwezagi huu mzezo yedede
@
@nyiguonlinetv83904 years agoNimewapenda bureeeee,..wasonge mbele,..noma tumekwenda nje kidogo ya nchi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂z 8
@
@chifuthedoni88892 years agoHayo ni madawa tu, Msidanganywe na msijaribu kuiga! mtakufa!
مقاطع الفيديو ذات الصلة على TAZAMA STYLE ZA VIJANA WANAVYOCHEZA NA PIKIPIKI BILA WOGA ARUSHA TUNAITA DEDE:
A city for the life 74
Like those in Texas USA keep it up machalii zang 6
Mimi ni CEO PUPPY TALES ENTERTAINMENT 💥💥🥂
NIMEFURAHIA 1
1: kufikisha viewer's billion 1
2: kufikisha subscribers millions 3
Viva Ayo Viva 2
Ni Hatari Kwa Usalama Wao