MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kuwa wamehakikisha usalama wa asilimia 777 hivyo wananchi wajitokeze kupiga kura kuchagua viongozi wanaowataka.
"Ukimaliza kupiga kura nenda kanywe bia, wanaosema watakaa kulinda kura wala msiwe na wasiwasi nao, hivi ukiweka pesa azko benki unakaa hapohapo benki kuzilinda?"
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kuwa wamehakikisha usalama wa asilimia 777: