المدة الزمنية 6:13

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kuwa wamehakikisha usalama wa asilimia 777

بواسطة kzone update tv
28 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2020/10/28

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kuwa wamehakikisha usalama wa asilimia 777 hivyo wananchi wajitokeze kupiga kura kuchagua viongozi wanaowataka. "Ukimaliza kupiga kura nenda kanywe bia, wanaosema watakaa kulinda kura wala msiwe na wasiwasi nao, hivi ukiweka pesa azko benki unakaa hapohapo benki kuzilinda?"

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0