Diamond Platnumz, msanii wa kizazi kipya Bongo, amekuwa na kawaida ya kuipromoti Afrika Kusini kuliko Tanzania. Kwa kupitia mitandao yake ya kijamii, Diamond amekuwa akiandika maneno kama Welcome SA akimaanisha Karibu Afrika Kusini na kuposti vivutio kadhaa vya nchi hiyo lakini hajawahi kuandika chochote kuhusu nchi yake, Tanzania.
Global TV Online ilimsakanya kila kona kwa lengo la kutaka kumsikia, kwa nini anaipromoti Afrika Kusini kuliko Tanzania wakati tuna vivutio kibao? Msikilie alichokisema...
Kupata video kibao kama hizi, usisahau kusubscribe kwenye youtube chaneli ya Global TV Online
DIAMOND| TANZANIA| SOUTH AFRICA| DIAMOND PLATNUMZ|