المدة الزمنية 4:9

Wahalifu watatiza usalama, Hali ya usalama yadoroa wajir Kusini ya chini

بواسطة ALPHA TV News
8 786 مشاهدة
0
78
تم نشره في 2021/09/20

Kundi la majangili linalo aminika kuwa zaidi ya watu ishirini na tano limekua likitatiza maisha ya wakaazi wanaoishi katika kaunti ndogo ya Hasabawein katika kaunti ya Wajir na kufanya ngumu kupelekea wakaazi chakula Cha msaada na maji kwa waathiriwa wa ukame.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 3