Katika News Room Leo, Serikali ya Tanzania imetangaza kumpata Billionea mpya aliyeuza madini ya Tanzanite yenye thamani ya Billion 7.8. Timu ya Yanga imempiga faini mchezaji wake Bernard Morrison kwa kosa la kufanya mazungumzo na wanahabari kinyume na kanuni za timu hiyo
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على TANZANIA YAPATA BILIONEA MPYA KUPITIA TANZANITE | YANGA YAKOMAA NA MORRISON: