المدة الزمنية 3:11

Lissu aondolewa kizuizi na Polisi, atiririka kingereza akitoa la moyoni kuhusu kuzuiliwa huko.

بواسطة Vamba Tv Online
171 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2020/10/07

#LISSU #CHADEMA #PWANI #UCHAGUZIMKUU #URAIS2020 #TANZANIA Msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. #TunduALissu umeondoka na kuelekea Mlandizi mara baada ya kuwekewa zuio na Jeshi la Polisi eneo la Kiluvya mkoani Pwani.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0