Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda amemtambulisha msanii wa WCB, Mbosso Baraza Kuu la Umoja wa Vijana UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam ambapo baada ya utambulisho huo wanachana hao walianza kuserebuka wimbo mpya wa Mbosso aliouimba kwaajili ya chama hicho.