المدة الزمنية 21:9

Atayofanya Mo Dewji kwa Simba ndani ya mwaka mmoja

بواسطة Millard Ayo
145 204 مشاهدة
0
789
تم نشره في 2017/12/03

Mfanyabiashara Mohammed Dewji ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa Mabilionea wa Afrika, leo Jumapili December 3 2017 ametangazwa kuwa mshindi wa zabuni za uwekezaji ndani ya Simba SC kwa asilimia 50. MO Dewji ametangazwa kuwa mshindi wa zabuni hiyo hivyo katika mfumo wa kisasa wa hisa ambao utakuwa unaiendesha Simba, MO atakuwa na hisa asilimia 50 na hapa kaeleza ni vitu gani ataifanyia Timu hiyo kwenye mwaka wake wa kwanza.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 142