Polepole ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha ambapo amesema amesikia Mbunge Godbless Lema huenda akaenda kugombea Ubunge mkoani Kilimanjaro.
#Polepole #GADITV
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.