Kesi ya malkia wa filamu nchini Wema Sepetu imeendelea kusikilizwa tena leo Jumatatu na dhamana yake imekubaliwa kuendelea baada ya wiki iliyopita mahakama kuamuru kupelekwa gerezani kwa siku saba kwa kosa la kukiuka masharti ya dhamana. Kesi ya Wema imepangwa kusikilizwa tena Julai 4, 2019.