المدة الزمنية 23:14

MBOSSO: Sikuwa na ushkaji na Harmonize, Aslay alinunfollow Insta nikashangaa, Tanasha naye kuniblock

بواسطة Simulizi Na Sauti
146 440 مشاهدة
0
2 K
تم نشره في 2020/09/14

Sehemu ya pili ya #ChillnaSky ambapo Mbosso anafunguka kuhusu kutokuwa karibu na Harmonize licha ya kuwa label moja ya WCB, kwanini yeye na Aslay si marafiki tena na jinsi anavyoimiss Yamoto Band, alijisikiaje baada ya Tanasha kumblock Instagram, iwapo anapendelewa na Diamond pamoja na mambo mengine

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 214