المدة الزمنية 14:32

PROFILE: AJALI Kubwa za MELI Zilizowahi Kutikisa Tanzania

بواسطة Global TV Online
214 959 مشاهدة
0
508
تم نشره في 2018/09/25

#MVNYERERE #MVBUKOBA #AJALIZAMELI SIMANZI! Meli Zilizowahi Kuzama TZ Na Kuua Watu Wengi Zaidi Wakati bado watanzania wakiwa kwenye maombelezo ya kuwaombolezea mamia ya watanzania kuzama katika kivuko cha Mv Nyerere turudi nyuma kidogo tukumbuke miaka Miaka 21 iliyopita ambayo haitaweza kusahaulika kwa urahisi kwenye mioyo ya Watanzania Ulimwenguni kote, hasa yanapotokea matukio kama hayo kwani usiku wa kuamkia Mei 21, 1996, meli ya MV Bukoba ikiwa na abiria kati ya 750 na 800 pamoja na wafanyakazi 37 ilizama majini kwenye Ziwa Victoria mwambao wa Bwiru Jijini Mwanza ambapo ilikuwa takribani kilomita 30 kufika nchi kavu. Ripoti ya Tume ya Jaji Robert Kisanga, iliyochunguza chanzo cha hiyo ilieleza kuwa, kati ya hao, 114 waliokolewa wakiwa hai; wakati 391 waliopolewa wakiwa wamefariki na kuzikwa katika makaburi ya Igoma barabara ya Musoma, nje kidogo ya Jiji la Mwanza. Miili mingine ilichukuliwa na jamaa kuzikwa kwao. Jumla ya miili 332 haikupatikana. http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://ww.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Suazi1 /c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli ...

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 292