@jumanneissakwakala1881منذ 3 سنواتHiki kipindi Ulichokianzisha Mh PolePole, Siyo Shule tuu. Ni Shule + Chuo Kikuu. Hongera sn Mhe PolePole. 48
@
@kankukelly614منذ 3 سنواتHongera comrade Pole Pole.huo ndio ukweli mtupu ambao tunatakiwa kujifunza sisi wafrika.badala ya porojo nyingi 12
@
@jeanboscomunyarurembo3490منذ 3 سنواتShule ya uongozi ni nzuri saana kwa vijana na waongozi wuko madarakani.Tunapungeza Mhe pole kwa kazi nzuri ya kizalendo. Naombe ugombee urais. Watanzania wanataka Mzalendo wa kweli kama Magufuli. 6
@
@peterlot2050منذ 3 سنواتMH. Polepole, hili kipindi kinasaidia sana zaidi ya kipindi kilichopotea cha papo kwa hapo. Hili nacho ni chuo kikuu. Ubalikiwa na Mungu 5
@
@rutindikarwoganyanja9436منذ 3 سنواتMbone Baba Yetu Magufuli hakuenda kwa wale wizi 11
@
@jumaally8994منذ 3 سنواتSafi sana mh polepole mzee wetu jpm amefanya mambo makubwa bila kwenda kuomba misaada ya ajabu 3
@
@emamkuyu4061منذ 3 سنواتAsante sana, barikiwa sana kijana.Samahani,neno Magharibi unatamka Mangaribi,sisi tunakuamini,tunaonamba utamke MAGHARIBI. 2
@
@davidkwisi8231منذ 3 سنواتMimi naomba sana tusirudi kwenye kipindi cha awamu ya nne kuanza kuabudu nchi kubwa za magharibi. Hilo tatizo ni ugonjwa mkubwa sana. Hatuhitaji kushikwa id="hidden2" class="buttons"> masikio na nchi za magharibi, duh hivi kwanini wasimamizi wa serikali hawavijui. This is oblivious ....وسعت14
@
@humphreyngallawa5630منذ 3 سنواتTupo pamoja wajinaaa,upo vizuri,Damu ya Yesu ikufunike,mishale yote iwarudie waooo 4
@
@williamkavavila608منذ 3 سنواتOoh, Comrade polepole, ..Mungu wetu akupiganie maisha marefu yenye afya. ..kwani una maono yenye NGUVU ya Roho wa BWANA. ..Amen!
@
@kuntakinte7339منذ 3 سنواتWewe ni mwanafunzi mtiifu uliefuzu kuchota akili pendwa na akili sana, kutoka kwa mh,HAYATI MWL,WAWAJINGA,NA WAELEVU. Hongera sana Mungu akulipe hustahilicho. 4
@
@jaredyndaga4617منذ 3 سنواتPolepole yupo vizuri sana aendelee tu kufundisha huyu ndo mzalendo haswa 24
@
@ustadhabdulkariimpuma8953منذ 3 سنواتNamuona Mfalme ndani yako. Mungu akusimamie. 1
@
@sharifatutu2158منذ 3 سنواتHawa ndiyo watu muhim waliyobaki aliwaacha magufuli 18
@
@amosedward4326منذ 3 سنواتManeno makini sana kiongozi endelea kuamusha watu fikira 3
@
@ashuramhando5285منذ 3 سنواتMama yeye kasema ameenda kurudisha mahusiano na wazungu mahusiano yaliyopotea uongozi wa Baba Mungu amsimamie huyu Mama asiendelee kuchotwa akili na wazungu 3
@bahatebahate5427منذ 3 سنواتUpo vizuri sana .lakini nashindwa kuelewa hawa viongozi wanao g'ag'ana na nchi za magharibi akiri zao hazina akiri. 3
@
@henrymhema3101منذ 3 سنواتUbarikiwe Mtumishi maana Tanzania inaupungufu mkubwa sana wa Watu Kama polepole anayeweza kusimama bila kuogopa akasema kweli yote bila kuogopa
@
@burundibwizacetribea995منذ 3 سنواتMimi napenda vijana wanao na Oganic akili kama wewe, na wanavyotumia akili zao kufikilia mema kwa Africa. By the way, Ebola ilitengenezwa ili wauwe id="hidden5" class="buttons"> wa Africa wote sio wakongomani tuu. Na Ebola ilivyo kataa kuwafanyia kazi ya kutuuwa haraka, wakahamia kutengeneza COVID_19, na hii ikishindwa, watatengeneza magonjwa mengine ....وسعت19
@
@yusuphsanga4429منذ 3 سنواتsafii mweshimiwaa naisi wenye akili ya vyeti nao wapate kuelimika
@
@allymwailogwa8364منذ 2 سنواتKwa kweli hii shule ilikuwa muhimu sana kwa afrika sijajua kwa nini wslikufungia
@
@saynabmohammed6263منذ 3 سنواتHuyo mama hawez kujiendesha Mwenyewe ataweza kukopa maden Nchi imali nyingi Tu
@
@kamanda007منذ 3 سنواتNakubaliana na swala la mbegu za kilimo, tuna research institution kama SUA, uyole etc zifanye kazi then tuzalishe za kwetu la sivyo tutakuwa watumwa 1
@
@hajingangila1558منذ 3 سنواتUpo nyumbani kuelimisha family asiye kubali hapo ni wale fundisha wakuelewe. 6
@
@emmanuelowiti8217منذ 3 سنواتBenk ya dunia ni Rothschild,mama usidanganye watu. 4
@
@cytklمنذ 3 سنواتMwafrika alirogwa na yesu mzungu anaamini yeye ni mtumwa 5
@
@abuusahya6130منذ 3 سنواتHuyó mamá mm siitaki hata kusikia sauti yake
@
@linusdavis9072منذ 3 سنواتTunaomba ugombee uraisi kaka tukupe kura zote 1
@
@petersilas4234منذ 3 سنواتKwa hili la sukari Tuwe waangalifu kwani kuna uwezekano wa kupitishia Zanzibar. 1
@
@mohamedimwinyi8777منذ 3 سنواتKweli ni ujinga nakesho mbele ya mungu Watajibu na wataukumiwa
@braystuskibassa3842منذ 3 سنواتTumekwisha aisee hao utasikia kama unataka msaada kubali ushoga leo viongozi wetu tunawapigia magoti mbaka lini
@
@papaahansmo1129منذ 3 سنواتWADAU WA KATIBA MPYA TUGONGE LIKE HAPA
@
@misalabamisalaba5075منذ 3 سنواتYaan kati ya nchi ambayo siipend kuliko zote USA kwa kweli binafsi nikiwa Rais ni zaid ya Kimjon Un 2
@
@safinatourssafaris2519منذ 3 سنواتHuyu mama kashapoteza nchi, kwani angetulia tu hapa nchini, Kingetokea nini, kwa nini hatuliiiii
@
@ramosfally2318منذ 3 سنواتjamaa anongea point ila musimpeleke kuzimu jamani angalau 2025.apewe kichewo kidogo.nexty nyerere na magufuli ndani yake
@
@fidelisinnocent7516منذ 3 سنواتsio waonevu tu wahuni saana hawa jamaaaa wazungu basi tu
@
@doricekajuna6185منذ 3 سنواتpole tunakuombea ,,,unatupa Elimu kama JPM,,,alivyo kuwa,tunakuombea sanaa
@
@hamismfaume4925منذ 3 سنواتPolepole na rafiki zako hatuwataki habari zenu kutolewa madarakani tu hasira
@
@bahatimohamedi720منذ 3 سنواتWewe ndo pekee umeback mushika ufunguo wa magufuli
@
@doctorzero-dj5xgمنذ 3 سنواتKutokana na tunavo kutegemea bora ukae kimya! Tusije tukakupoteza 1
@
@mussaelisha3733منذ 3 سنواتPolepole amerudi Kama ezi ya katiba Yuko POA Sasa ivi nakuamini ila ulipotea ezi ya jpm
@
@mohdshebe5640منذ 3 سنواتSasa darasa hili sisi wananchi wa kawaida lina tusaidiaje, maan hao wanaingia mikataba na hawo wanyonyaji akina nani na wewe ndio mtunga sheria jmni ?
@
@josephjulio6112منذ 2 سنواتMimi naomba Mungu Putin achinje mtu haraka
@
@jonaspatrick2871منذ 3 سنواتNaona mama yupo na mkwepa kodi.kama Tony Blair anakwepa kodi kwao atatusaidiaje sisi kama sio yupo kwa maslahi yake.
@
@raybirry3816منذ 3 سنواتANACHOSEMA KINYUME NYUME NI KWAMBA SAMIA HAJUI ATENDALO.
@
@lawcompsl7510منذ 3 سنواتUnaongea zaidi ya ukweli.haya ndoo yanaoendelea Africa tutaishi maskini.shinda ni kwamba, hatuna Raisi Africa anaye akili za kiasi unachokielezea.
@
@jonaspatrick2871منذ 3 سنواتUngetoka humo ccm ukaanzisha chama chako na wenzako tungewaunga mkono sanaa tu, JPM ameacha vijana mlioiva, ccm inawapull down.
@
@unclesymonymwaki958منذ 3 سنواتIla unapomtaja J P M usimtaje huyo mwingine
@
@fakihdarusi4385منذ 3 سنواتSAWA LAKINI WEE JE? UMEFANYA NINI ILI TUSIWE TEGEMEZI? MANA KAMA PIA UNGEKUWA TZ UNAIPENDA SANA UNGEREJESHA WARIOBA KATIBA.
@
@petersilas4234منذ 3 سنواتBenki ya dunia na IMF zimebadilishwa na Wachina. Ujio wa China imebadili uchumi wa dunia. Tujue jinsi ya kwenda na Hali mpya.
@
@ulayazمنذ 3 سنواتacha upumbavu, unafiki na uchu wa madaraka ndio unaokusumbua
@
@abuyunusmohamed6961منذ 3 سنواتpolepole wakati wa magufuli ulikuwa mpole mpole.Sasa umekuwa msemaji mkuu wa chadema na kuwa mkali mkali. 1
@
@robertbutahe2835منذ 3 سنواتTatizo la "Polepole" nikuangalia mambo upande mmoja wa shilingi! Kusoma Chuo Kikuu ni kitu kimoja na kuelimika ni jambo jengine.
@
@errydeo8865منذ 3 سنواتTukitumia rasili mali zetu ipasavyo,we dont need them! JPM,alituonyesha how we can be self reliant! Samia hana VISION AT ALL..
@
@raygamba174منذ 3 سنواتMbona kwenye madini ni wao ndio wawekazaji, kipindi chote cha Magu mbona hukufungua mdomo? Tanzania raha saana ukitaka madaraka we anza kuanzisha harakati id="hidden8" class="buttons"> uchwara, fanya hivyo kwa Paul Kagame uone ndio maana Nchi yao inapiga maendeleo ....وسعت
@
@engzuberir.akilenza1764منذ 3 سنواتHuyu jamaa kukosa cheo kunamtesa Sana. Na hataki kuamini kama jamaa hayupo tena duniani.
@
@hamadsuleiman5177منذ 3 سنواتProblem la hii yuotube channel inapotosha watanzania kwa sababu huyu mtoa post hajawahi kumsema vizuri huyu mama hata mara 1 kazi yake ni kupotosha tu id="hidden9" class="buttons"> umma na kulee chuki kati ya watanzania.hemu anza kuandika mambo ya familia yako na aibu zake tuanze kuzisoma kwani unatuchosha sasa.alaaa ....وسعت
@
@hemedjackson2261منذ 3 سنواتSs hiz longolongo mjomb zot zimekuj baad ya kuvuliw uwenyekit wa fitna wa chama wkt ww ulikuw nd unojib masuala ya chama wkt ule kweli wanasias njaa wot
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Polepole: Marekani mama ameenda kuonana na watu hatari waporaji wa mali za Afrika:
By the way, Ebola ilitengenezwa ili wauwe id="hidden5" class="buttons"> wa Africa wote sio wakongomani tuu. Na Ebola ilivyo kataa kuwafanyia kazi ya kutuuwa haraka, wakahamia kutengeneza COVID_19, na hii ikishindwa, watatengeneza magonjwa mengine ....وسعت 19
Mwenyewe ataweza kukopa maden
Nchi imali nyingi Tu