المدة الزمنية 1:47

MOTO KARIAKOO: ALICHOKIKUTA RC MAKALLA BAADA YA KUTINGA ENEO LA TUKIO, VIPI KUHUSU CHANZO

بواسطة Millard Ayo
7 213 مشاهدة
0
28
تم نشره في 2021/07/11

Kutoka hapa Kariakoo, Dar es salaam muda huu, Soko Kuu la Kariakoo linateketea kwa moto, bado chanzo hakijajulikana na tayari Vikosi vya Zimamaoto na Uokoaji pamoja na Vyombo vingine vya usalama vinaendelea na shughuli za kuzima moto huu.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 10