المدة الزمنية 2:55

CCM wampitisha Katibu Mkuu mpya wa UVCCM, yaweka viporo nafasi ya Mwenyekiti, Makamu

بواسطة Daily News Digital
329 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2021/06/22

Kamati kuu ya Halmshauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM imemteua kenani kihongosi kuwa katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM. Awali keneni kihongosi alikuwa mkuu wa wilaya ya Iramba na anachukua nafasi iliyoachwa wazi na mwl. Reymond Mwangala ambae hivi karibuni aliteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176 ... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig ... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid ... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0