@afric01منذ 3 سنواتAslm alkm wtw. Sheikh Othman, Allah Akupe furaha Kama unavyo tufrahisha sisi. Ama hakika ndoa za leo ni ndoana na zitabaki kua ndoana hakuna mawadata id="hidden2" class="buttons"> wa rahman ndani yake. Kumpa mumeo majina mabaya huzusan jina linalo tokamana na maradhi ni kukosa adabu na heshma. Mumeo ni mumeo, wala hakuna kovu ya mke na mme sikwamba ninawasifu laa. Binafsi nimepitua mengi, na kuwaskia wenzangu kuhusu wanaume wa baya. Allah akulipe mema Sheikh wetu kwa kujaribu kutuweka sawa. Wanaume wa leo hawaelewki hataaaaa. Allah ataleta nusra. Jazakallahu kheir.Twakupenda Sana Sheikh wetu. ....وسعت
@
@sudyhamdun7041منذ 4 سنواتShekh Nakupend kwaa Ajili Ya Allah Asant kwa kutukumbusha" honger sn 1
@
@halimakalinga7764منذ 4 سنواتMashaaAllah jazzak la kheri Allah azid kukulinda uzid kutufunza
@
@saeedsaeed7381منذ 5 سنواتMasha Allah Masha Allah sheikh Othman mawaidha mazuri unatufunza mapema mengi mema..mungu akupe afya, furaha,Amman and emaan Ameen yarab 5
@
@bellbell9294منذ 3 سنواتMaashaallah shukraan Sana sheikh wetu Allah akulipe kher
@
@sadaali8665منذ 5 سنواتShekh odhman masha Allh mpaka naona raha kukusikilza 1
@
@zayyatiyussuf9566منذ 5 سنواتMashaallah Allah akuzidishie ilimu sheikh 4
@zainabmaulidi9846منذ 4 سنواتShukrani sana kwa mawaidh manzuri sheikh othman Allah akuzidishie umri mref wenye kheri insha Allah
@
@radhiamussa1629منذ 5 سنواتMa shaa Allah aturuzuku waume wema wenye kuwafanyia hisani wajane pia kuwaongoza vizuri
@
@jamuasmail193منذ 4 سنواتmashaallah sheikh wetu mungu akupe kheiri
@
@aminamohamed9955منذ 4 سنواتSubhana Allah eti kaniacha ivi asante Kwa kutuongoa nimejifunza mambo mengi Sana
@
@laylisaid9563منذ 5 سنواتmashaallah shukuru jazaka allah heli ya Rabbi akuzidishi mulimlafu na akupe afiya njema
@
@aminamohamed9955منذ 4 سنواتSubhana Allah asante Kwa mawaiza mazur.
@
@rahmasalamalaykum7668منذ 5 سنواتMashaallah shekhe mungu akuzidishie umri
@
@issaramadhani9714منذ 5 سنواتFawaiyda za kheyri na ilmu ktk mahusiano ya maisha ya ndoa tumepata fawaiyda kubwa sana ALLAH Mtukufu azidi kukunjulia heri juu ya heri ktk maisha yako id="hidden3" class="buttons"> na baraka nyingi ALLAH atukubali na aturidhie na tunamuomba ALLAH awajalie wanawake wajitambue thamani yao na washikamane na mwongozo wa wanawake wema waliopita. ....وسعت2
@
@aishaaisha9094منذ 5 سنواتDuh kwakweli tutapona kweli kwahizo aina za tabia
@
@bimumaulid1171منذ 5 سنواتTumekupata inshaalah tuyafatishe lkn kidogo simu nyingi 1
@
@yusuphmruma1771منذ 4 سنواتmwenyezimungu anijaliye aniingize peponi na ww shehe nawaisilamu wote ila shehe umenichrkesha niutani au nikitu kimetokea kweli kisa sukari mwanamke amuite mumeo kishuga
@
@nasraalismailiy5188منذ 5 سنواتmashaAllah nimependa mawaidha sana samahan lkn sheikh naomba no yako please ninasuali muhim sana na linaniumiza nataka nikulize
@
@sarahmohamed337منذ 5 سنواتShukran Sheikh kwa Darsa lako zuri.ila nipo na tatizo ambalo siwezi kulielezea.Naomba no. Yako ya wats ap kwa hisaniyako.
@
@karistkanuti2747منذ 5 سنواتNatafuta mke Wa kuoa Wa kiislam,nna miaka 26, mwanamke awe na umri chin y miaka 23,npo Kigoma kasulu,0718771870
@
@kajoakother6041منذ 4 سنواتkwamaiza natafuta muchumba mahariyangu a isomee juzuu sita akimariza ananiowa nipo boswana
@
@afric01منذ 3 سنواتAslm alkm wtw. Sheikh Othman, Allah Akupe furaha Kama unavyo tufrahisha sisi. Ama hakika ndoa za leo ni ndoana na zitabaki kua ndoana hakuna mawadata id="hidden5" class="buttons"> wa rahman ndani yake. Kumpa mumeo majina mabaya huzusan jina linalo tokamana na maradhi ni kukosa adabu na heshma. Mumeo ni mumeo, wala hakuna kovu ya mke na mme sikwamba ninawasifu laa. Binafsi nimepitua mengi, na kuwaskia wenzangu kuhusu wanaume wa baya. Allah akulipe mema Sheikh wetu kwa kujaribu kutuweka sawa. Wanaume wa leo hawaelewki hataaaaa. Allah ataleta nusra. Jazakallahu kheir.Twakupenda Sana Sheikh wetu. ....وسعت
@
@issaramadhani9714منذ 5 سنواتFawaiyda za kheyri na ilmu ktk mahusiano ya maisha ya ndoa tumepata fawaiyda kubwa sana ALLAH Mtukufu azidi kukunjulia heri juu ya heri ktk maisha yako id="hidden6" class="buttons"> na baraka nyingi ALLAH atukubali na aturidhie na tunamuomba ALLAH awajalie wanawake wajitambue thamani yao na washikamane na mwongozo wa wanawake wema waliopita. ....وسعت2
مقاطع الفيديو ذات الصلة على THAMANI YA MWANAMKE NO2 - SHEIKH OTHMAN MICHAEL: