Wimbo wa katikati Dominika ya 33 mwaka A
Zaburi: 128
Mtunzi: Respice Makoko
Waimbaji ni St Paul's Students Choir, Chuo Kikuu cha Nairobi
Karibu kutazama wimbo wa katikati kila wiki pamoja na nyimbo nyingine za kwaya katoliki Kenya na Tanzania katika channel hii
Please like, share and subscribe lest you miss out our next uploads.
MANENO YA WIMBO
KIITIKIO
Taabu ya mikono yako(hakika) hakika utaila.x2
MASHAIRI
1.Heri mtu Yule amchae Bwana aendae katika njia zake.
2. Heri yao wale wamchao Bwana watapata heri pia Baraka.
3. Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao ndani mwa nyumba yako.
4. Nao wana wako kama miche ya mizeituni wakizunguka meza.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 58
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Taabu Ya Mikono Yako | Wimbo wa Katikati | R. Makoko: