Mpapai unaaajabu mengi katika tiba kwa kila kitu katika mmea wa mpapai ni dawa mfao: Majani, tunda, mbegu, utomvu a mizizi vyote hivyo katika mmeo huo ni dawaa,. Titizo ni elimu amna gani ya kuvitumia vitu hivyo.
Katika video hii imeonesha machache katika mengi yanayoweza kutibiwa kwa kutumia mmea huu wa mpapai, na hapo tumeangalia vitu maradhi kama kutopata choo vizuri, matatizo ya figo a kibofu cha mkojo, gono, UTI sugu, tatizo la kukojoa kitadani, ngiri, chango na minyoo.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 27
@
@robertmsilanga7290منذ 4 سنواتAhsante sana mwalimu kwa kutujuza na kutupa mwanga
@
@jailomhengilolo2898منذ 5 سنواتBarikiwa kwa somo hili nmejifunza Ahsante
@
@dktfelixadrian5418منذ 5 سنواتAsante kwa kuelimisha jamii, ubarikiwe sana.
@
@neemaneema4740منذ 5 سنواتKaka asante sana mimi nimekuelewa sanaaaaaaa 2