Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ametangaza Vita na Mtandao wa wezi wa mafuta ghafi kupitia bomba kuu la mafuta Kigamboni na kulielekeza Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam kuwashughulikia kikamilifu wezi hao ambapo adi leo Jumla ya watuhumiwa 15 wanashikiliwa.
RC Makalla amesema hayo wakati wa ziara ya kukagua miundombinu ya Kupokea Mafuta ghafi kutoka kwenye Meli za Mafuta adi kwenye Visima ambapo ameshuhudia uharibifu mkubwa wa miundombinu uliofanywa na Mkazi mmoja aliechimba handaki adi kwenye Bomba kuu la mafuta na kujiunganishia Jambo lililopelekea hasara ya upotevu wa Mafuta kwa Wafanyabiashara
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 105
مقاطع الفيديو ذات الصلة على ISHU YA WIZI WA MAFUTA KIGAMBONI RC MAKALA ATINGA/AMBANA KIGOGO/AKOSA MAJIBU: