Jenifer Kwaka,
Salim Ahmed,
Muhamed Fungafunga,
Latifah Idabu
Kwenye maisha kuna mitizamo tofauti ,kila mtu anamtizamo wake na akili yake inavyomtuma Jordan alijikuta anaingia matatizo makubwa kutokana na mtizamo wake..fuatilia kisa hiki…..
@user-pl1zr5vd8lقبل 3 أشهرHow can you marry someone without knowing their background. Nice move with lessons kudoz to all the participants you did great ❤️
@
@annaanyosisye8682منذ 3 سنواتHivi mnajua tunatumia hela kuanglia sauti hamna tunashida na mziki sisi kaaaaaaah!!!! 5
@
@zulachama1067منذ 3 سنواتHii filamu hilichezwa na mafundi wakujua kucheza filamu sio mchezo, asanteni sana nyote wausika, watching from mombasa- kenya. 5
@
@aishaomar9621منذ 3 سنواتMovie tamu sana Iko na funzo hongera Sana kwako gabo love you more 5
@
@user-fg1ur1lo1fقبل 10 أشهرNakkubali Gabo mahali upo , nakuombea mwenyezi Mungu akueke na akuzidishie hiki kipaji kizidi kutustajabisha❤❤❤❤
@nurdinykhalfany9373منذ 2 سنواتMovi kali sana sauti tu ndio imezingua 2
@
@hirdahaule-qe8otقبل 10 أشهرAsante kwa muvi nzuri inafundisha sana wengi wanakaa na Wanawake bila kwenda kwao nifunzo kubwa
@
@renatusmwanakatwe7717منذ 3 سنواتAsante kubwa ujumbe tumejifunza kwa kupitia filam hii BIG UP. Mmh sauti sasa! 6
@
@mauaselemani2133منذ 3 سنواتNzuri Sana sauti tu imeleta figisufigisu 2
@
@shazilmtupa3262منذ 3 سنواتShida ya movie za kibongo Ni sauti bhana 2
@
@mugamgandila2597منذ 3 سنواتMove aina sauti ndo maana mnachemka bongo move Amna kitu 3
@
@bassasamuel9281منذ 3 سنواتMimi piya ninapenda hii movie kupita ngari langu sasa sauti jamani??. 2
@
@ephraimndelwa4073منذ 3 سنواتKtk filam za kisenge zilizowahi kutengenezwa hapa bongo hii yakwanza, yaani filam ya mabubu wanaotumia ishara kwa kila kitu 2
@
@fabianbwire2262منذ 3 سنواتMovie tamu inatoa funzo but imekaa kwa educated people coz kuna mahali movie haina sauti na maneno yanayo andikwa chin ni kingereza 7
@
@angelinamamu8854منذ 3 سنواتWangapi wameona kua mtoto anajua kuact ❤️ 25
@
@annemakaka210منذ 3 سنواتSauti jamani! Duh! Pole sana Gabo, kwa kweli uliyapitia 7
@
@VailethAnderson-vm3ncقبل 9 أشهرMtoto amevaa vema uhusika,daah Al in all hili n funzo kwakwel,napenda maneno y gabo ila hapa wamenifelisha xaut hakuna
@
@danielinyanza7465منذ 3 سنواتWabongo bhn mda mwingine mnafeli sana,, part 2 karbia yote mnaongea wenyewe tuwaelew vp ssa 5
@
@safaribahati6883منذ 3 سنواتI really like this movie and I did learn something thank you for the lesson, but the problem was the voice, I taught you guys have to check your microphone, id="hidden1" class="buttons"> you put allot of music than the voice so people they can hear about what you are saying, because is not everyone who knows how to read, but thanks for the move. ....وسعت2
@
@cornelmassawe856منذ 2 سنواتMnavo upload movie kwenye YouTube tafadhali jitahidini muekee na sauti vizuriii Napenda sana kufuatilia ila sipati ladha yoyote pale ninapo tizama igizo alafu halina sauti. 1
@
@duniamoise2023منذ 3 سنواتKazi ni nzuri ila tatizo mnatunyima sauti jamani sio sote tunafaamu kusoma kingereza !! 2
@
@jokhamohammed976منذ 3 سنواتPicha nzuri sauti akuna ndio nini sasa
@
@beatricemartin474منذ 3 سنواتjamani mbona mnaweka soundtrack movie nzima hata hatupati hamu yakuangalia.please fix this problem movie inanoga tukisikia sauti za waigizaji 2
@
@erizabethlichima6218العام الماضيSijapenda ata mb zangu mumekula bure saut hazisikiki
@
@bicheadamoadamo6327منذ 2 سنواتGostei do movie, mas não se ouvi nada, logo, perdeu qualidade. Diretamente, Mozambique
@
@mwakaathumani4793منذ 3 سنواتKwani imekuaje miziki hii hatusikii lolote na haya ni mafunzo tuone na tusikie movie nzuri sna
@
@rebeccaposhombili9890منذ 2 سنواتAsante lakini filamu ingekuwa nzuri kama sauti ingesikika yaani hatujuwi munasema nini tunafata filamu ya mabubu 1
@
@albertinemacimu1247منذ 3 سنواتIla Tausi na usiku wote huo uende nje kweli 1
@
@grouptv2منذ 3 سنواتMim ni mpenzi wa movie za tz sana ( hogereni sana movie nzuri) maneno ndo tunatakiwa kuyasikia na sio music.mko vizuri. 11
@
@happnessgodfrey6080منذ 3 سنواتmme ambiwa muende kwenye choo chawatu mnajishauatu
@
@graceirene8207منذ 2 سنواتSasa movie bila sauti tunaelewaje mmeboa sana kwenye saut
@
@warrenfrancisco1958منذ 3 سنواتYaan wabongo Kila kitu tuko nyuma Hadi sauti tu tunafel sjui tutaendelea lini
@
@kendimutungaمنذ 3 سنواتJamani mbona movie Haina sauti why????
@
@samsonpeleka3453منذ 3 سنواتMove ya kimbumbamvu kwel et limziki utafikiri you tube NI studio 1
@
@dawoodysuddy1518منذ 3 سنواتNdio movie taam kabisa ila sounds problem hatuelewi nini kinacho endelea kabisa producer rekebisha vizuri sounds kabisa plz 2
@
@raymusa0015منذ 3 سنواتMovie nzuri sana na funzo ila sauti ulitunyima Kaka 1
@
@mariamissa1528منذ 3 سنواتHii movie jaman kipindi naiyona Mara ya kwanza ilikuwa na saut
@
@antoniaroman9354منذ 2 سنواتiludieni hii movie ili muikee sauti IPO vzr mno
Napenda sana kufuatilia ila sipati ladha yoyote pale ninapo tizama igizo alafu halina sauti. 1
Diretamente, Mozambique