Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
CC: Saadam Seif Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
/watch/gP9ye7QajQQay/watch/Y9mrg7gbcsMbr
@zainabali2041منذ 5 سنواتMashaallah . Allah awabarikie Shukran ktv tz online hakika hii ni fahari yetu 3
@
@zainababdullsadik1247منذ 5 سنواتMashallah lakini airport zamani mnatuangushaa tangu enzii za mkoloni pls muangalie pia 6
@
@abdulihafidhali5379منذ 5 سنواتAlosikia neno ATAFAIDIKA agonge like hapa chini ili twende sw 7
@
@zayyatiyussuf9566منذ 5 سنواتShukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu 2
@
@ramygichero1016منذ 5 سنواتHongreni sana Wazanzibari Mungu awabariki 2
@
@fahadfahmyمنذ 5 سنواتWaziri Mahmoud Boresha Kiwanja mambo mazuri yatakuja tu inshaallah.
@
@mwanaz3110منذ 5 سنواتSio ndege kubwa haijawahi kutuwa Zanzibar Mwambieni Babu Ali na SMZ waache ujinga na wao wanunuwe zao,Hawamuoni Magufuli mwenzao? 14
@
@daudimsangameno8304منذ 5 سنواتNdege kubwa zaidi ya abiria kwa sasa ni Airbus A380, yenye uwezo wa kubeba abiria mpaka 800, na iliwahi kutua kwa dharura Dar es salaam ikitokea Dubai kwenda Mauritius 4
@
@nasser89nasser20منذ 5 سنواتNdege MashaAllah kwa znz lkn aibu kwa uwanja wa ndege kua hivo na barabara hata taa hamna mnataka watalii lkn uwanja miaka ishirini haujabadilika angalau utengezeni na barabara na taa za njiani iwe znz km dubai 4
@
@karyori69منذ 5 سنواتina maana mwandishi hakuwa na habari A380 ilipotua bara?
@
@nadrikhamis1399منذ 5 سنواتinsha'Allah tutayaona maendelea kwa jamii 2
@
@salehseif9560منذ 5 سنواتAlafu mapato ya utalii wa Zanzibar yanakwenda wapi maana Zanzibar kila siku inazidi kufa 14
@
@AbdillahSOthmanمنذ 5 سنواتNunueni zakwenu mpate kuleta ufanisi wenyewe na mapato mupate mengi , visiwa ni utajiri mtupu uliopo lkn uchumi umekaliwa na wachache. Fikirieni na vizaz id="hidden3" class="buttons"> vinavyokuja maisha yao mnayatengeneza vp kwani mzazi ndie mwenye kumtengenezea mtoto wake maisha mazur au mabaya. Elimu kitu muhim sana. ....وسعت
@
@jannatferdaus7251منذ 5 سنواتMheshmiwa unatuahid kufanya kitu gani cha kuleta maendeleo Znz kupitia hilo unalolisifia ?
@
@user-ys6zi7vk8vقبل 3 أشهرBritish airways jumbo jet ilikuwa inakuja tanzania miaka ya 90s na early 2000. Kipindi hicho tunapanda kule juu pale dar. Huyu mtangazaji atakuwa amekuja mjini juzi.
@
@humuodkindi4926منذ 4 سنواتIshawahi kutua 747 zamani hii so mara ya kwanza including ndege serikali ya Oman alikuja nayo Malkia wa Nyuki. Nsege kubwa kuliko hiyo ni Boeing 777 nayo inatua Znz kila mara from Ethiopian Airlines , na Airbus 380
@
@jumayaasin5056منذ 5 سنواتwe have to plan for bigger idea , I was thinking we have landed our own plane 2
@
@jumatarabeni9753منذ 5 سنوات747 alikuja nayo mfalme was Morocco na watatiano walashawahi kuja na hii no ya tatu 747 1
@
@yahasalel-sheibany5403منذ 5 سنواتLoooool! How comes ndege imejaa wat 525 half kwa mwez upat wat 4500-5000 muheshimiwa waziri kwa mwez ni wagen 2100 kupitia company hio, hap una id="hidden6" class="buttons"> apply multiplication t. 525 X 4=2100 labd mpk March zikiongezeka mara tatu ndo utapat wagen hao. ....وسعت
@
@hajihaji6351منذ 5 سنواتMalizeni uwanja ni aibu sana mana ukikaa unasubur upande ndege joto kali hamna hata A/c 3
@
@bodeamaimbo4180منذ 5 سنواتAcha uongo mtangazaji kusema Ndio ya kwanza kutumia hata bara naile ya Emirates jk Nyerere usipotoshe watu sema hii ya kwnza Kwa airport ya visiwani Zanzibar
@
@amourmtungo623منذ 5 سنواتSasa hii ndege ni ya Zanzibar au ya kigeni? Lakini barabara zetu na maji au miundo mbinu inaruhusu kuwaridhisha hao wageni?
@
@MAPETEEمنذ 4 سنواتSio kweli pesa zoot zapelekwa Dar huko Zanzibar Ina kufa na nannja Km kwel gonga Hapo 3
@
@salhkasmm558منذ 4 سنواتNa changing ya machafu pia kwa watoto watafaidika
@
@abubakaromari1567منذ 5 سنواتmm nikusema ni yenu kumbe mushereheke ndege za watu
@
@issamohammed2458منذ 5 سنواتTupeni khabari za kweli ndege haijawahi kutuwa na Air Tanzania ishawahi kumiliki 747 boing
@
@safianassir3843منذ 5 سنواتTumefurahi kutua ndege kubwa zanzibar lkn ilikuwa kabla tutizame wapi inatuwa na wapi wanapokea wageni kiasi kikubwa na wanaondoka pia panakuwa na foleni hujui aunzie wapi Hakika hii ni fakhari yetu
@
@bokasa5150منذ 5 سنواتkt huo ni Uwongo ndege aina hii zimeshatua km mara ya tatu
@
@ibrahimkhatib2899منذ 5 سنواتJamani hatuoni aibuu jana2 magufuli alipokea ndege mpya ya tz sisi hataaa hatuelewi tupotuu jamani hayo mapato yanaenda wapiii?
@
@husnamohamed9245منذ 4 سنواتItolewe tra ilipiwe zanzibar tu pesa zenda bara .na hao wazungu waskiwaibia hao washajivunjia
@abukingkima092منذ 5 سنواتTutangaze na tuvipende vya kwetu kwanza ili nchi yetu ikuwe kiuchumi na hasa kijamii ili serikali ipige hatua na wananchi wapate maendeleo
@
@hassanmchwakachangama888منذ 5 سنواتKubwa ushirikiano na uaminifu tu kwenye hayo mapato wa sijinufaishe wa kubwa tu
@
@adullali775منذ 5 سنواتMimi nauliza mgeni yoyote akiingia nchini akilipa VIZA pesa inaenda as Zanzibar or Tanzania? Who is immigration'''
@
@zayyatiyussuf9566منذ 5 سنواتMashaallah chuma simchezohalafu mtu wa kwazwa kuhojiwa anazungumza hata mate hamezi kwa fraha. Mtangazaji nimesikia hongera kwa kazi 3
@
@ruaiyatruaiyat691منذ 5 سنواتMnajisifu ndege yenu? Ndege si mnamuachia ananunua Magufuli. Nyinyi anakutoeni Kapa. Anaitengeza bara. Nyinyi mpoo tuu kidumu kidumu. Yeye yake yanamuendea. 10
@
@micamathew6433منذ 5 سنواتHiyo inaweza kutua hata hapa Arusha tu. 1
@
@zayyatiyussuf9566منذ 5 سنواتwacha chuma kitue chini nishangae japokua kushangaa mwisho mara moja. Nimezipenda hizo kawa kofia mmevaa kwa sababu ya kuipokea ndege? 1
@
@mselemhaji1969منذ 5 سنواتPesa zote zitakazoingia lakini hakuna hata kimoja kitakachofanyika isipokua nikula wakubwa tu hata barabara zitashindwa kumalizwa wapuuzi ccm
@
@twilindeissa9343منذ 5 سنواتupumbavu wenu kaziyenu kujisifu lakin wananchi wanakufa kwa nnjaa kazi maneno mengi
@
@oscarmtavangu3053منذ 5 سنواتKwa masahihisho, airforce one ni 747, ilimleta bush halafu obama tz
@
@AliAli-xi3huمنذ 5 سنواتMtaniwia radhi Haya mambo yanavyokwenda hizi taasisi zimekaa Kama saccos
@
@MohdRashid-cu9qbمنذ 5 سنواتImeleta nn wasenge au wenda uchi kutoka Ulaya
@
@nadiyakisho2178منذ 5 سنواتfanyeni mnunue ya kwenu so kusifu za watu
@
@hatimmohamed4299منذ 5 سنواتNilidhania ndege yenu aah!! Halafu hata zikijaa itatusaidia nini??? Wizi tu. Wacheni majisifu fanyeni vitendo na sio kukusanya kodi mkajenga majumba na kugawana viwanja.
@
@theroots2743منذ 5 سنواتSasa subirini kiboko yenu mtakavyoambiwa kutoka kwa watawala au mabwana zenu
@
@kassimomar7589منذ 4 سنواتPesa halafu zenda WAP njia zotee mbovu Pemba mzima 1
@
@sultantany6091منذ 5 سنواتNilijua nasisi tumenunua ndege kumbe imekuja kutembea
@fahdihasnuu9034منذ 4 سنواتLeten habar ambazo zitafungua akili zz watu uchumi wa watu unaanguka kila leo dah yani kweli wanahabari pia mumefilisika kimawazo pumbav
@
@ibnsoudmzee5246منذ 5 سنواتLakini je hizo pesa mtakazo pata zitabaikia Zanzibar au mtaendelea kuzipelaka bara 4
@
@salamakhamis7245منذ 5 سنواتMunafurahia na kudidimiza tamaduni zetu za kistaarabu munacho angalia nyinyi matumbo yenu tu
@
@qassimmuhammad9634منذ 5 سنواتJana tumepokea yetu air Tanzania dreamliner hapa bongo 3
@
@dullahamoud6037منذ 4 سنواتSasa zanzibar mumiliki ndege yenu sio pesa hazionekani wageni waja tu
@
@samirahassan3212منذ 4 سنواتMsionyeshe ndenge tu onyesheni nahayo mapelenge wanao ua ndunguzetu kwa madawa yakukevya
@
@smithjones4099منذ 5 سنواتwageni wamekuja kuchukua kisiwa cha znzibar.acheni tamaa
@
@hamedabdallah6728منذ 5 سنواتHahahaaaa hatariii ndugu zetu wa damu wapokea ndege zao Air Tanzania kwa sherehe sisi twapokea Air Russia kwa sherehe tena itakayokaa Zanzibar kwa saa id="hidden11" class="buttons"> 1 tu inaondoka ujinga mtupu tutaishia hv kusindikiza watu kwa unafiki wa viongozi wa Zanzibar. ....وسعت
@
@ramygichero1016منذ 5 سنواتRussia ni nchi nzuri sana kwa utalii jitahidi na rudini tena mkawa lete wengine
@
@fahadfahmyمنذ 5 سنواتWater salute yanini hiyo mvua inatosha
@
@jumailyass9308منذ 5 سنواتSidhani Kama inamfaifisha mzanzibar hapo
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SHUHUDIA MWENYEWE, NDEGE KUBWA ZAIDI KUWAHI KUFIKA TANZANIA YATUA ZANZIBAR LEO | :
Shukran ktv tz online hakika hii ni fahari yetu 3
Mwambieni Babu Ali na SMZ waache ujinga na wao wanunuwe zao,Hawamuoni Magufuli mwenzao? 14
How comes ndege imejaa wat 525 half kwa mwez upat wat 4500-5000 muheshimiwa waziri kwa mwez ni wagen 2100 kupitia company hio, hap una id="hidden6" class="buttons"> apply multiplication t.
525 X 4=2100 labd mpk March zikiongezeka mara tatu ndo utapat wagen hao. ....وسعت
Dar huko
Zanzibar Ina kufa na nannja
Km kwel gonga Hapo 3
Hakika hii ni fakhari yetu
Halafu hata zikijaa itatusaidia nini???
Wizi tu.
Wacheni majisifu fanyeni vitendo na sio kukusanya kodi mkajenga majumba na kugawana viwanja.
minilizani yanchi ytu kumbe yawatu,