@monicasimpilu6257منذ 3 سنواتDunia ina mambo hii wengine tunalala wengine wanakesha kutafuta kula nyama za watu. Wengine kuchukua nyota xa watu Mungu tusaidie waja wako. 13
@
@seasonepisode3328منذ 3 سنواتApana jina lingine lenye nguvu zaidi ya jina la Yesu kwa jina la Yesu majini wanakimbia 2
@
@zettyhassani2244منذ 3 سنواتSubhana Allah ,mungu nakushukur kwa uzima huuu 1
@
@rosecruiz4348منذ 3 سنواتUbarikiwe sana kakangu mungu azidi kuku tia nguvu katika safari ya kwenda mbinguni 1
@
@navokisemboمنذ 3 سنواتBarikiwa saana kaka Yesu ndie njia na uzima
@
@frankmtei3017منذ 3 سنواتAmeen, ubarikiwe sana MTU wa Mungu. Yesu ni Bwana!.. Hallelujah. 1
@
@elizanzula8375منذ 3 سنواتAsante sana nyote mpaka mrudi kwa MUNGU palipo na usalama wa milele na hakuna majuto
@
@farhathamdansalum9725منذ 3 سنواتKk ww kwa kweli hatari venye unawaganguwa
@
@wantangosaimon5295منذ 3 سنواتSasa wew Davis unashangaa MTU kufaulu mtihan kupitia majini umesahau JUMA 17 julieti alivyomuwezexha akafaulu mtihan wa shule kupitia juliet 1
@
@florencerose859منذ 3 سنواتKama umeokoka umewacha mabaya na mbona umeficha usoooo?
@
@seasonepisode3328منذ 3 سنواتNakumbuka kaka angu alikua mwalimu mkuu alioa muislam yule dada alikua na majini Atari basi akawa anaombewa yakamtoka ila yakamuingia mtoto wake wa kike.miaka mingi sana imepita sijui kama yalitoka au laa..
@
@jamesswai6583منذ 3 سنواتMungu mkuu Sana. Yesu ndo Kila kitu Jamani, Njoon Kwa Yesu. 1
@
@costavalenci7699منذ 3 سنواتDav huwa napenda Sana namna unavyomhoji mtu
@
@fatmaalrshdii7615منذ 3 سنواتMtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko 2
@
@wantangosaimon5295منذ 3 سنواتAisee davix kipindi hiki kinatufundixha vitu vingi sana saa nyingine Kumbe unaweza kukosana na familia yako kumbe unakuta umepandikkzwa uchawi tu wa kuwavuluga 4
@
@farhathamdansalum9725منذ 3 سنواتHii kweli kuna watu hutumia maji kujuwa kusoma hajakosea
@
@nurafedrick378منذ 3 سنواتHongera kumuachaa shetani nakurudia Mungu wako Ilahapo kwa lita ishirini xadamuhapo si mat xima ndoitoshe hilo dumu ama mbili ♂️♂️♂️♂️♂️
@
@rasjamal9854منذ 3 سنواتHii Deep Davistar mata ubarikiwe maana tuna jifunza mengi sana kupitia kipindi chako
@
@macamezunguzungu5697منذ 3 سنواتWachawi wapuuuzi saaaana hapa dunia hawajali pesa so kuuwa watu tu bila faida mungu siku ya kiama piga kibiliti 2
@
@ruthkwamboka9082منذ 3 سنواتEwe Mungu twakuomba utuokoe kutoka kwa Dunia ii 1
@
@ahmedmohd3287منذ 3 سنواتAhhhhhh !!! Brada nimeipata iyo tena aahhhhhh 1
@
@deelissa2746منذ 3 سنواتMti mkav si ndio alisema yy ni mwenykt wa wagng tz 1
@
@meenalaza406منذ 3 سنواتJamani bro davistar usiku ukilala huoti ndoto mbaya maana story nizakutisha tu
@
@credo7837منذ 3 سنواتSafi sana nilikuw naingoja kwa ham tuko pamoja 1
@
@seasonepisode3328منذ 3 سنواتYan majini yamewaingia watoto wa mchungaji mala watoto wanaswali swala 5 na wanaongea kiarabu inamana apa inamaanisha wale wanao swali swala 5 na kuongea kiarabu means ni wa shetani asante Yesu kristo
@
@heartheart7628منذ 3 سنواتUkion davi amepost hii video ikiwa ndefu namna hii jua kuna stori zingine zinakuja kwa wingi 2
@denizamahongo8557منذ 3 سنواتYaani kila siku nastaajabu mambo haya Duniani, kweli nabaki mdomo wazi kazi hipo ,damu ya yesu itakase kwa kila jambo. 1
@
@jesusislord9190منذ 3 سنواتKabla hamjaanza kuombewa mnapaswa kwanza mfundishwe biblia hakuna mahsli kwenye biblia pameandikwa uchawi umeletwa na MUNGU
@
@frankmtei3017منذ 3 سنواتDamu ya mtu ikimwagwa inaongea kudai ilipiwe kisasi
@
@shizaarfred4059منذ 3 سنواتYan hawa wajinga sana hawaonagi sehem nyingine za kwenda kucheza mpka kanisan wote mtateketea na mtamludia muumba wenu
@
@godwinjosephat5044منذ 3 سنواتDAVISTER MATA NIMEFUATILIA SIMULIZI ZAKO NYINGI SANA, UKWELI NI KWAMBA WENGI WALOOPATA MATATIZO JINA LA YESU (UKRISTO) NDIO UMEWAOKOA, KUNA KITU CHA MSINGI SANA KINAONEKANA HAPA. 3
مقاطع الفيديو ذات الصلة على PART4:KIJANA ALIYERITHI MIKOBA YA UCHAWI WA BABU YAKE AELEZA ALIVYOFANYA MAUAJI YA KUTISHA/GAMBOSHI:
Ilahapo kwa lita ishirini xadamuhapo si mat xima ndoitoshe hilo dumu ama mbili ♂️♂️♂️♂️♂️