Kutokea Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amefikishwa kwa ajili ya kesi yake ya uhujumu uchumi na ugaidi ambayo August 5, 2021 iliahirishwa kutokana na tatizo la kimtandao wakati shauri lake lilipopangwa kuendeshwa kwa njia ya Mtandao.