Ni simulizi ya kweli inayomuhusu kijana kwa jina Hassan aliebadilisha mwenendo wa maisha yake ya shule mara tu baada ya kukataliwa na mwanadada alieitwa Ashura.
Simulizi inatufundisha tusikate tamaa katika maisha, chachu ya mabadiliko inaweza kutokea upande wowote.
kama umependa simulizi zetu unaweza kusubscribe ili kuendelea kupata stori nyingi, pia usisahau kusema comments zako hapo chini, mawazo na maoni yako
Unaweza kututumia stori yako tuichore kwa email:
simulizionline1@gmail.com