Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Laizer amezikwa leo katika kata ya Moivo Wilayani Arumeru,Mkoani Arusha baada ya kufariki kwa kuchomwa visu maeneo mbalimbali katika eneo la Philips wakati akitoka kanisani akiwa na fomu zake za kuombea mkopo wa kwenda chuo kikuuu baada yakupata divison 1
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 228
مقاطع الفيديو ذات الصلة على KIJANA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU AKITOKA KANISANI ARUSHA ALIPATA DIV 1: