Diwani wa Kata ya Mwaka Kati Mji wa Tunduma Ayubu Mlimba Aibuka mshindi kwa kuchaguliwa Kuwa mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Tunduma
Madiwani 21 wa Halmashauri hiyo wameapishwa kiapo cha Utii na Uadilifu katika hafla ya uzinduzi rasmi wa baraza jipya la madiwani
#BarazaLaMadiwani #Tunduma