#Dodoma #Kamwelwe #Ringroads #Tanroads #CCECC #AvicProjevtEngineeringCompany
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe ameshuhudia zoezi la kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara wa njia ya nne ya mzunguko wa Jiji la Dodoma kati ya Wakala wa Barabara (Tanroads) na Kampuni mbili za Kichina ya China Civil Engineering Construction Corporation na Avic International Project Engineering Company.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 9
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Barabara mpya ya Dodoma | Waziri-Dodoma sasa kunanoga: