@mwanahalimamwachili9679منذ 4 سنواتSwadaktaaaaa Sana Muheshimiwa,Saidia Wananchi. 2
@
@Mamatonny2065منذ 4 سنواتWanaogopa kutumbuliwa hapo. wananchi wamechoka kufuga ujinga.Mkuu wa mkoa hongera sana kwa kazi nzuri. 3
@
@aboubacarkillo5140منذ 4 سنواتOnce again nasema mh hap uko vzr sana vzr sana,hongera sana 2
@
@amosimichael208منذ 4 سنواتMkuu uko na logic Kali mpatanish mzuri keep it up!! 1
@
@ramadhaniabdulkadry288منذ 4 سنواتGood mkuu wa mkoa napenda xana UTENDAJI wako. 4
@
@khairiyyaonline3616منذ 4 سنواتGonga Like saana kwa mkuu wetu wa mkoa oyeeeeeeeee 1
@
@janekikoti2179منذ 4 سنواتSafi sana mkuu wa mkoa hao wamezoea kuwanyazisha wananchi 3
@
@ymusic803منذ 4 سنواتSafii sanaa cjafka huko iringa but nakukubali sanaa
@
@gastordominic410منذ 4 سنواتHappi upo vzr.ila kuna mapungufu.school mate wangu 4
@
@richardbuhatwa1940منذ 4 سنواتHekima nyingi mkuu wa mkoa wa iringa ally hapi kazi nzuri kuwa mpatanishi wa viongozi na wananchi mungu awenawe daima
@
@blacknature3691منذ 4 سنواتMh Ali unahuruma Sana ngekuwa mwengine angemtumbuwa huyu kaka 2
@
@brendachemtai6214منذ 4 سنواتMkuu wa mkoa tanzania iringa mpya kutoka KENYA twakupenda bure akii unafanya kazi nzuri mno i wish ungekam KENYA utusadie pia sisi
@
@ndagamwesa9955العام الماضيHatakiswahili hajui et basi naomba ladh
@
@mariamm2724منذ 4 سنواتMkuu, unahekima sana ,nimeipenda hiyo ya usifanye ivo ,nakulove sana,ck nikirudi tz nakutafuta, 2
@
@pascalmsilwa7817منذ 4 سنواتJamani tupeni namba ya mkuu wa mkoa tumpigie sisi hatumwogopi 2
@
@zuwenaalamini4158منذ 4 سنواتMmmh! Padri ni mbeyaIla Bora kausema ukweli 6
@
@gastordominic410منذ 4 سنواتKwa nn hamkuulizwa siku zote zilizopita 1
@
@thomkimaro5801منذ 4 سنواتhakika ningepata nafasi yakuchagua kazi nikufanya na huyu mkuu wa mkoa kijana. braza piga kazi madingi wengi wanazingua 3
@
@simonlulenga7062منذ 4 سنواتDuh mkuu wa mkoa bwana! Tunakupata kwa vipande vidogovidogo mno. Maana unafanya mambo mazuri hapo Iringa hadi raha. Tunatamani full story, lakini tuishia kuona kidogo tu. 1
@
@ludovicmjili8480منذ 4 سنواتMtendaji yuko sawa kila mtu amalize majukumu yake kwa nafasi kama kila kitu kinamalizwa na mkuu wa mkoa. hawa subordinates kama mtendaji, afisa n.k id="hidden2" class="buttons"> hawatakiwi kuwepo ili kila mwananchi aende kwa RC. Pia huyo padri wa ccm askofu, mkuu wake wa shirika amuonye mbaya sana kwa padri kujinasibisha na chama. ....وسعت7
@
@michaelnzunda7347منذ 4 سنواتAko kaafisa mtendaj ka kata hakafai kua kakiongozi,chek kanavo tetema 7
@
@blastusmitawo2014منذ 4 سنواتKwa wana Iringa naomba namba ya mkuu wa mkoa
@
@zainabubalama4622منذ 4 سنواتMkuu WA MKOA Happ tunakuomba ufike Kijiji cha Wangama ukaone xhida tunazo pata 2
@
@hermanmkamilo9985منذ 4 سنواتshule ni muhimu sana na tatizo ni kuweka watukwa kuwa wanajua kuongea. kimsingi katika mambo ya utendaji kila nyanja hushughulikia mambo yake, na hata id="hidden3" class="buttons"> mkuu wa nchi analitambua hilo , ndio maana huteua wakuu wa mioa hadi wenyeviti, sasa hivi jamani kero ya mtaa kuwa mchafu aje aambiwe mkuu wa mkoa si utoto huo? ....وسعت1
@
@oikoludasi8769منذ 4 سنواتPdri Ana chm mkuu wa mkoa nae anachma tunaenda wap 5
@
@relaxationalmoments7029منذ 4 سنواتHawa watendaji wa chini bure kabisa! Mnasubiri Mkuu wa mkoa ameitisha mkutano wake na wananchi kusikiliza kero zao ndio mnaweka masharti yenu? Eti "tuulizeni id="hidden4" class="buttons"> sisi yanayotuhusu"! Siku zote mlikuwa wapi kutatua kero za hawa wananchi, mpaka mnasubiri mkutano wa Mkuu wa mkoa? Zero minus kabisa hawa! ....وسعت1
@
@marrycomedian1253منذ 4 سنواتMkuu wa uko vizuli iringa hatujasomea elimu kama wewe wamesomea umbes na mjungu huyo ni chadema naomba uje kihesa mgagao kuna viongozi hawajasoma kabisa id="hidden5" class="buttons"> wanatunyanyasa sana njoo wanawake tunazalaulika sana huyo ni fisadi sana jitu zima hilo halina haya linyanyasaji ssna hata huku wapo ....وسعت1
@
@KUTOKA-ep2fkمنذ 4 سنواتEti paroko unapelekaje mizigo na misiasa yako kwa kiongozi wa kiserekali badala ya kusaidia kuondoa kero! 1
@franciscomohamedjumanne1136منذ 4 سنواتHuyu padri sikupendi maana kunasiku unanyanyasa raia kwa sababu tu wameenda kujisaidia chooni hapo ,we padr gani 1
@
@alwaysthink0220منذ 4 سنواتBoss you are wrong men the guy was honest with his apology and you ashemed him publicly I think that was wrong on your behalf sir muhishimiwa
@
@paulinasemindu1292منذ 4 سنواتnikushaur padre,wangu unahak lkn ww fanya kz ya mungu siasa haitokupeleka kokote babw
@
@festomsoffe3767منذ 4 سنواتNi jipu mkuu wa mkoa kufuatilia kwa ukaribu
@
@elyudsaleh6044منذ 4 سنواتAskofu Wa huyo padre amkaribishe jimboni na kumkumbusha kuwa Chama chake ni Biblia. 6
@
@mcrootsav7712منذ 4 سنواتNimependa alivyo jinyenyekeza kwakuomba msamaha.lkn.pia nimegundua Elimu zaidi yahitajika kwa watendaji wa vijiji na kata.wajumbe na wenyeviti.kusaidia kujielewa zaidi.kuijua mipaka yao yakazi pia.
@
@onesmometili3594منذ 4 سنواتKweli kabisa kwa hapi, DC wake kilolo, na Rc wa mbeya
@
@hizim6699منذ 4 سنواتVitu vingine bhana nimecheka kweli yani live tu sshv hakuna pembenipembeni ukichana unachanwa live km kuhukumiwa unahukumiwa live hata kweny vyama vya id="hidden7" class="buttons"> siasa unaona mtu anakula kesi pale mkutanoni au anatolewa nje ya mkutano apo kweny kikao hakuna pembeni pembeni Thus good Hon.Regional commissioner of Iringa ....وسعت
@
@amospetro3828منذ 4 سنواتHuyu mrangi hajitambui snaaa anajifanya anajua kila kitu,ndio shida ya wa rangi ,kero hazitatuliwi jukwaani aiseee !! 1
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Mkuu wa Mkoa Ana Majibu ya Hovyo /Padri Afichua Mazito Mkutanoni:
Pia huyo padri wa ccm askofu, mkuu wake wa shirika amuonye mbaya sana kwa padri kujinasibisha na chama. ....وسعت 7
Thus good Hon.Regional commissioner of Iringa ....وسعت