Mchekeshaji na mshindi wa Big Brother Afrika 2014 Idriss Sultan amezungumza na AyoTV kuwa aligundua kipaji chake cha kuchekesha akiwa shule ya msingi ambapo mwalimu akiwa anafundisha yeye anachomekea maneno wanafunzi wanacheka akawa anapigwa sana darasani.