المدة الزمنية 2:50

BIMA KWA MIKOPO

بواسطة Daily7 Tz
163 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2018/06/03

Vyama vya Ushirika mkoani Rukwa ambavyo vimekuwa vikitoa mikopo kwa wanachama wao vimetakiwa kuanza utaratibu wa kukata bima katika mikopo hiyo ili kuvinusuru vyama hivyo kupata hasara kutokana na wanachama ambao sio waaminifu wanaochukua mikopo hiyo na kushindwa kulipa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0