المدة الزمنية 8:49

SIMBACHAWENE ATOA MAAGIZO HAYA KWA ASKARI MAGEREZA | Muungwana Tv

بواسطة HABARIMPYA TV
9 021 مشاهدة
0
45
تم نشره في 2020/02/29

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi George Simbachawene amelitaka Jeshi la Polisi hapa nchini kuacha kukamata ovyo watu na kusababisha kujaa kwa mahabusu katika Magereza mengi na kusababisha hasara kwani Magereza hayo hawazalishi chochote.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 19