المدة الزمنية 3:11

TASWIRA KIMATAIFA : Zambia yaendelea kumuomboleza rais mwanzilishi wa nchi hiyo Kenneth Kaunda

بواسطة Dalmus Sakali
193 مشاهدة
0
2
تم نشره في 2021/06/19

Serikali Ya Zambia Imetangaza Siku 21 Za Maombolezo Ya Kitaifa Kufuatia Kifo Cha Muasisi Wa Taifa Hilo Kenneth Kaunda. Serikali Ya Zambia Imeamuru Bendera Zipeperushwe Nusu Mlingoti Na Imepiga Marufuku Matukio Yote Ya Burudani Kwa Heshima Ya Kiongozi Huyo Wa Zamani Aliyekuwa Na Haiba Kubwa. Kwingineko, Iran Ijumaa Tarehe 18 Juni 2021 Inafanya Uchaguzi Wake Wa Kwanza Wa Rais Tangu Kusainiwa Kwa Mkataba Wa Makubaliano Ya Mpango Wa Nyuklia Kati Ya Nchi Hiyo Na Mataifa Sita Yenye Nguvu Duniani. Tafadhali SUBSCRIBE kupata uhondo zaidi #Taswira_Kimataifa #KennethKaunda #IranElections

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0